Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8975 results for Mwandishi :

  1. Lewis-Skelly kubeba mikoba ya Partey

    IWAPO Thomas Partey ataondoka Arsenal msimu huu wa majira ya joto, huenda kukawa na mabadiliko makubwa katika safu ya kiungo ya klabu hiyo. Mkataba wa Partey unatarajiwa kumalizika mwishoni mwa...

  2. ALONSO: Dili la Madrid litakavyomtajirisha

    BAADA ya timu nyingi kuhitaji huduma yake katika dirisha la majira ya kiangazi mwaka jana na kuzikataa, Xabi Alonso anayeifundisha Bayer Leverkusen kwa sasa, anadaiwa kuwa katika makubaliano na...

    ATM Pict
  3. Liverpool kumechangamka, Wirtz akabidhiwa yake

    LIVERPOOL iko moto, ikitambulisha jezi mpya wa msimu wa 2025-26, zitakazovaliwa na majembe yao ya maana huku kiungo wao ghali, Florian Wirtz akikabidhiwa Namba 7, iliyokuwa ikivaliwa na Luis...

    LIVERPOOL Pict
  4. BOLKIAH: Mchezaji tajiri kuliko Messi, Ronaldo

    FAIQ Jefri Bolkiah si jina maarufu katika ulimwengu wa soka. Ni mtoto katika familia ya kifalme ya Brunei ambaye anatajwa kuwa mchezaji wa soka mwenye utajiri mkubwa zaidi duniani, akiwazidi...

    ATM Pict
  5. Uganda kujiuliza mbele ya Guinea

    TIMU ya taifa ya Uganda The Cranes, inashuka tena uwanjani leo kutupa karata ya pili ya Michuano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji Wanaocheza Ligi za ndani (CHAN), itakaposaka ushindi wa kwanza...

  6. PRIME Conte, Casemiro wafunika Yanga

    KATIKA kambi ya mazoezi ya Yanga yanayoendelea kwa sasa pale KMC Complex, Dar es Salaam ikijiandaa na msimu mpya wa mashindano kuna balaa la mastaa wapya wa timu hiyo ambao Mwanaspoti lilipata...

  7. CHRIS PAUL: Sio nguvu tu, hata mkwanja upo

    MIONGONI mwa wachezaji wa NBA ambao hawajakosa kucheza mechi hata moja msimu huu ni Chris Paul wa New Orleans Pelicans ambaye umri umeshaanza kumtupa mkono.

    PAUL Pict
  8. Namba za JKT Tanzania zinashtua

    LICHA ya kwamba hawatajwi sana, lakini maafande wa JKT Tanzania namba walizonazo katika Ligi Kuu Bara iliyosimama kwa sasa zinashtua.

    JKT Pict
  9. Balaa la uwanja mpya, usajili mpya ni utata, mataji kuyeyuka

    MANCHESTER United imekiri kwamba inajiweka kwenye hatari ya kukosa ubingwa kwa miaka mingine mitano kutokana na kuwekeza pesa nyingi, Pauni 2 bilioni kwenye mradi wa ujenzi wa uwanja mpya.

  10. Paul Pogba hapa inawezekana

    BAADA ya kumaliza kifungo chake cha miezi 18, juzi, sasa ni rasmi kiungo wa zamani wa Manchester United na Juventus yupo huru kusaini mkataba kwa ajili ya kuichezea timu yoyote.

Previous

Page 516 of 898

Next