X-Mass, Mwaka Mpya kwa Arsenal kicheko KRISMASI na Mwaka Mpya ni kipindi cha harakati nyingi na ubize wa kutosha kwa watu kusafiri kwa sababu ni kipindi cha likizo.
Cheki Feb 5 ilivyoleta mastaa wa soka duniani KAMA ulizaliwa Februari 5, unacheza soka na huna maajabu, basi achana na boli, kwani hiyo itakuwa kazi isiyokuhusu.
PRIME Mvua yatishia uwepo wa Ligi Kuu Mvua zinazoendelea kunyesha katika mikoa mbalimbali hapa nchini, zimeonekana kutishia kutibua ratiba ya michezo ya Ligi Kuu Bara.
Rekodi za mita 100 wanawake Olimpiki Mbio za mita 100 zimekuwa zikitoa wanariadha wapya kila mwaka ambao mashindano hayo yamekuwa yakifanyika lakini kuna rekodi moja ambayo inashikiliwa na mwanariadha Florence Griffith-Joyner ambayo...
JKU yabeba tena Ngao ya Jamii Zenji MABINGWA wa Ligi Kuu Zanzibar, JKU jioni ya leo Jumapili imefanikiwa kutetea tena Ngao ya Jamii baada ya kuinyoosha Chipukizi kwa mwaka 2-0 katika mechi kali iliyopigwa kwenye Uwanja wa New...
Jalada kesi inayomkabili aliyekuwa kocha wa makipa wa Simba, lipo Polisi Jalada la kesi ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroini inayomkabili aliyekuwa kocha wa makipa wa timu ya soka ya Simba, Muharami Sultani(40) na wenzake, limepelekwa polisi kwa ajili ya...
Enzo Maresca achimba mikwara huko Chelsea LONDON, ENGLAND: KOCHA mkuu wa Chelsea, Enzo Maresca amewapiga mkwara mastaa wote wa timu hiyo kwamba wanapaswa kucheza kwa viwango bora baada ya kumuweka kando kwenye kikosi mchezaji Noni...
Huko Man United kazi ipo KOCHA Ruben Amorim anafahamu wazi mashabiki wa Manchester United wamechoshwa na mwenendo wa klabu yao kwa sasa.
Waingereza pochi nene soka la Ulaya PESA inafanya mambo yanakwenda vizuri. Na kitu hicho kwa namna fulani kinathibitika kuwa ni kweli kwa wanasoka, hasa wale wanaocheza kwenye Ligi Kuu England ambao wamekuwa wakipata mkwanja...
Dili la Alexander-Arnold bado la moto WAKATI hatma ya beki Trent Alexander-Arnold ikiwa haijulikani na mkataba wake unaelekea ukingoni huku Real Madrid ikitajwa kwamba inafanya mazungumzo na wawakilishi wake kwa ajili ya kumsajili...