Arbeloa aula Fulham KLABU ya Fulham imemtangaza rasmi Alvaro Arbeloa kuwa kocha wake mpya kwa mkataba wa miaka mitatu, akichukua nafasi ya Marco Silva ambaye ameondoka kujiunga na Benfica ya Ureno.
Manchester United yamnasa Andrey Santos MANCHESTER United imefikia makubaliano na Chelsea ya kumsajili kiungo wa kimataifa wa Brazil, Andrey Santos, kwa ada ya pauni50 milioni.
Johan Manzambi apagawisha vigogo KIUNGO chipukizi wa Uswisi, Johan Manzambi, ameendelea kuthibitisha kuwa ni mmoja wa nyota wanaochipukia kwa kasi katika soka la dunia baada ya kung'ara katika Kombe la Dunia 2026 na kujiweka...
Vozinha anatua kwa Messi KIPA mkongwe wa Cape Verde, Vozinha, ambaye alikuwa mmoja wa mastaa waliotikisa Kombe la Dunia, anatajwa kuwa mbioni kutua Inter Miami kwa uhamisho wa bure baada ya kumvutia mmiliki wa klabu...
Sh670 Bilioni kumfungia Wembanyama Spurs KLABU ya San Antonio Spurs imeonyesha wazi imejipanga kujenga timu yake kwa muda mrefu baada ya kumfunga nyota wake Victor Wembanyama mkataba mpya wa miaka mitano wenye thamani ya dola milioni...
Sheria mpya VAR yaanza na Embolo MSHAMBULIAJI wa Uswisi, Breel Embolo, ameandika historia isiyotamaniwa baada ya kuwa mchezaji wa kwanza kutolewa nje kwa kadi nyekundu kutokana na matumizi ya sheria mpya ya VAR inayoruhusu...
Hugo Ekitike awapa faraja Liverpool MASHABIKI wa Liverpool wamepata taarifa ya kutia moyo kuhusu maendeleo ya mshambuliaji Hugo Ekitike baada ya nyota huyo kuonekana hadharani katika michuano ya Wimbledon akiendelea na safari ya...
Bingwa Wimbledon afungiwa miaka minne BINGWA wa Wimbledon wa mwaka 2023, Marketa Vondrousova, amefungiwa miaka minne kujihusisha na mchezo wa tenisi baada ya kukataa kufanyiwa kipimo cha dawa za kuongeza nguvu.