Waarabu wabipu kwa Fernandes, wapigiwa MIAMBA ya soka ya Saudi Arabia, Al-Hilal ipo tayari kuweka mkwanja wa maana mezani kwa ajili ya kuishawishi Manchester United iwauzie kiungo wao matata, Bruno Fernandes dirisha lijalo la majira...
Raphinha afunguka kuhusu Xavi STAA wa Kibrazili, Raphinha amesema hakuwahi kuaminiwa na Kocha Xavi wakati alipokuwa akiinoa Barcelona - jambo lililomfanya apate shida sana Nou Camp.
Rashford akomalia kusepa Man United MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa England na Manchester United, Marcus Rashford anadaiwa kuungana na wakala wake, Pini Zahavi kutia presha katika mpango wake wa kuondoka Old Trafford ikielezwa kwamba...
PSG, Arsenal UEFA ni kimbembe Paris Saint-Germain imeweka matumaini yote ya kutinga fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu, lakini mbele yao kimesimama kigingi kinachoitwa Arsenal.
Huu ndio udhaifu wa Fountain Gate, KenGold UKIANGALIA takwimu za Ligi Kuu Bara msimu huu utagundua kwamba Fountain Gate ndiyo timu nyepesi zaidi kuruhusu mabao iwe uwanja wa nyumbani au ugenini.
KMC yamfuta kazi Ongala, mwenendo mbovu wa timu watajwa Timu ya KMC ya Kinondoni, Dar es Salaam imeamua kuachana na kocha wake, Kally Ongala kutokana na mwenendo usioridhisha wa timu hiyo katika Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.
Kompany alivyomaliza gundu la Harry Kane MAKOCHA kibao walijaribu. Na wote walishindwa. Lakini, Vincent Kompany alifanikiwa kufanya kitu kilichowashinda magwiji kama Mauricio Pochettino, Jose Mourinho, Antonio Conte na Gareth Southgate...
Arsenal hakuna namna unaambiwa LIGI ya Mabingwa Ulaya ni kitu kilichobeba maana kubwa kwenye msimu wa Arsenal. Na hiyo, ndiyo maana usiku wa Jumatano utakuwa wa hukumu kubwa kwa Kocha Mikel Arteta huko Parc des Princes.
UBABE MWINGI: Arne Slot na makocha wengine waliobeba mataji misimu ya kwanza LIVERPOOL imeandika rekodi tamu kwenye Ligi Kuu England baada ya kunyakua taji lao la 20 huku ikiwa na mechi kibao mkononi.
Cunha, Man United kuna kitu kinakuja BABA mzazi wa Matheus Cunha amezidisha uvumi wa kuhusu mwanaye kwenda kujiunga na Manchester United dirisha lijalo la majira kiangazi kutokana na kile alichokiposti kwenye mitandao ya kijamii.