Wembanyama anadaiwa kukaribia futi nane YULE fundi wa mpira wa kikapu wa kimataifa wa Ufaransa, Victor Wembanyama anadaiwa kuongezeka kwa nchi nne na sasa ikielezwa kwamba kuwa anakaribia urefu wa futi nane.
Harry Kane hashikiki, Bayern moto hauzimi Bundesliga HARRY Kane ameendeleza rekodi yake ya mabao baada ya kufunga tena huku Bayern Munich ikiichapa Eintracht Frankfurt mabao 0-3 na kuendeleza mwanzo bora kwenye Bundesliga msimu huu, ikipanua...
Ruben Amorim hana amani Man United, Sunderland yashika hatima yake KOCHA wa Man United, Ruben Amorim amekiri yupo kwenye wakati mgumu, na huenda akapoteza kazi kama atapata matokeo mabaya kwenye mechi ya leo dhidi ya Sunderland.
Ruben Amorim akata tamaa Man United KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amesema hajali kama atafukuzwa kazi au atabaki kwa sababu huo sio uamuzi wake, lakini atafanya kadri awezavyo kuhakikisha timu hiyo inarudi katika mstari.
Mourinho Miaka 25, pesa kibao WIKI kadhaa zilizopita, kocha Jose Mourinho alijiunga na Benfica ikiwa ni siku kadhaa baada ya kutupiwa virago vyake na mabosi wa Fenerbahce ya Uturuki.
Lake Victoria Marathon kusaidia watoto njiti Mashindano ya mbio za nusu marathoni za Lake Victoria (Lake Victoria Half Marathon 2025) yamefanyika juzi Jumapili huku Kampuni ya Mawasiliano ya Simu za mkononi, YAS kwa kushirikiana na huduma...
Una hela? Hilo swali haliwahusu hawa jamaa UNA hela? Si unajua tena, siku hizi hapendwi mtu, linapendwa pochi.
Man City yapigwa tena, West Ham safi MANCHESTER, ENGLAND: Manchester City imeendelea kuwa na matokeo mabaya kwenye Ligi Kuu England, Premier League baada ya kulala kwa mabao 2-1 dhidi ya Brighton. City imepoteza michezo miwili kati...