Robertinho: Kwa Simba hii, aje yeyote! MASHABIKI wa Simba wanaendelea kufurahia burudani waliyoipata kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, wakati timu hiyo ikiinyoosha Horoya AC ya Guinea kwa mabao 7-0 katika mechi ya Ligi ya Mabingwa...
Geita Gold FC yapata basi jipya Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imemaliza tatizo la usafiri kwa timu ya Geita Gold FC, baada ya kuwanunulia basi jipya. Basi hilo limewasili jana Alhamisi mjini Geita baada GGML...
Yanga yajifungia CCM Liti Yanga imefanya mazoezi yake kwenye Uwanja wa CCM Liti mkoani Singida huku makomandoo wake wakizuia waandishi na hata mashabiki kuhudhuria mazoezi hayo. Yanga ambayo kesho Mei 4 itacheza mchezo...
Simba yaizidi akili Platinum PLATINUM FC wanatua leo Dar es Salaam. Lakini wanalia kwamba Simba inawafanya kitu ambacho kinawachanganya akili wasijue nini cha kufanya. Wanadai kwamba wamenasa habari za uhakika kuwa Simba...
KMKM yapoteza mechi ya kwanza PEMBA. MABAO mawili yaliyofungwa kila moja katika kipindi yameizamisha KMKM kwa mara ya kwanza katika Ligi Kuu ya Zanzibar (ZPL) baada ya jana kuonyolewa na Mafunzo kwenye Uwanja wa Gombani...
Ishu ya Morrison kama muvi IMEISHA. Maisha ya soka ya Benard Morrison ndani ya Simba yamefikia mwisho ndani ya kikosi hicho baada kukitumikia kwa miaka miwili iliyoambatana na visa na mikasa mingi.
Yanga yaanza mbinu za Bayern, Mtunisia afunguka... MASHABIKI wa Yanga wanafurahia ubora wa timu yao ikiwa imeshinda mechi tano na kutoa sare moja na wako pale juu ya msimamo. Imefichuka kwamba kuna mambo matamu yanatoka klabu za Bayern Munich ya...
Msama: Ninafanya matamasha kama huduma sio biashara Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama amesema matamasha mbalimbali ambayo amekuwa akiandaa, huyafanya kwa ajili ya kutoa huduma lakini sio kufanya biashara. Akizungumza katika kipindi cha...
Bihimba Cup 2021 mapema tu Julai Dar es Salaam. Vijana wametakiwa kujiingiza katika michezo ikiwemo mpira wa miguu ili kuepukana vitendo vya kiharifu ikiwemo uvutaji wa dawa za kulevya na wizi Akizungumza hayo leo Juni 8, 2021...
Gomes awapa ahueni Yanga, amtaja Kibu, Manyama RIPOTI ya Kocha wa Simba, Didier Gomes amekabidhi kwa uongozi ripoti ambayo itawapa ahueni Yanga na itawashusha pumzi kwenye mbio za kuwania mastaa wapya katika dirisha hili la usajili.