PRIME Azam yafunguka kipengele cha Yanga, Fei Toto kutua Simba Unakumbuka neno kipengele lilivyogonga vichwa vya habari wakati wa sakata la kuahirishwa kwa mechi ya watani wa jadi?
Klabu Bingwa Dunia… Nani anafuata? HISTORIA na rekodi zinaonyesha Real Madrid inaongoza katika msimamo wa timu ambazo zimefanikiwa kushinda taji la Klabu Bingwa Dunia mara nyingi zaidi kuliko timu yoyote.
Chelsea yaipiga bao Man United kwa Liam Delap CHELSEA inadaiwa kushinda vita ya kuwania saini ya mshambuliaji wa Ipswich, Liam Delap na huenda ikamtangaza wiki ijayo.
Ile siku ya fainali UEFA CL ndo leo ILE siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu ndio leo. Ndio, leo ni kilele cha michuano ya kimataifa Ulaya kwa msimu huu. Mechi kubwa ya fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya inapigwa leo katika nchi...
PRIME Uamuzi mgumu Simba, MO Dewji atajwa! BILIONEA wa Klabu ya Simba, Mohammed ‘MO’ Dewji ameridhishwa na mafanikio ya timu hiyo kimataifa licha ya kwamba imeshindwa kubeba ubingwa wa Afrika kwa mara nyingine na fasta ameamua kufanya...
De Bruyne, Jonathan David wanukia Napoli MABINGWA wa Italia, Napoli wanatarajiwa kukamilisha usajili wa wachezaji wawili kwa uhamisho wa bure, ambao ni kiungo wa kati kutoka Ubelgiji, Kevin De Bruyne, mwenye umri wa miaka 33 na...
Kigogo Man United atua Italia dili la Osimhen RIPOTI zimefichua kuwa wawakilishi wa Manchester United wamesafiri kwenda Italia kwa ajili ya kuzungumza na Napoli kuhusu uwezekano wa kuipata huduma ya straika wa timu hiyo na Nigeria, Victor...
Timu za EPL njia ngumu inazihusu KUELEKEA msimu ujao wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, timu sita za Ligi Kuu England zinatarajiwa kukabiliwa na droo ya kutisha ambapo kila timu itakutana na walau vigogo wawili wa Ulaya.
KOMBE LAO: Makocha hawa wamefunika MASHINDANO la Klabu Bingwa ya Dunia ni moja ya michuano ya hadhi ya juu katika soka la klabu yanayowaleta pamoja mabingwa kutoka mabara mbalimbali duniani.
Fahamu haya Kombe la dunia la klabu linavyonukia kuanza MWAKA huu historia mpya inaandikwa katika ulimwengu wa soka kwa kufanyika michuano ya Kombe la Dunia kwa upande wa klabu ambayo itakuwa kwa mfumo mpya ikihusisha jumla ya timu 32 kutoka mabara...