DJ Khaled anazidi kuukunja tu mkwanja WIKI iliyopita, msanii H Khaled Mohammed Khaled ‘DJ Khaled’ aliachia biadhaa yake ya shampoo ambayo ina uwezo wa kubadilisha nywele rangi kwa watumiaji.
Snoop aenda kuona timu yake Swansea BOSI wa Preston, Paul Heckingbottom, alitania kwamba aliweza kunusa harufu ya bangi katika korido za uwanjani wakati Snoop Dogg alipohudhuria mechi yake ya kwanza ya moja kwa moja ya Swansea City.
16 bora Ligi ya Mabingwa Ulaya, Courtois anaitaka Man City KIPA wa Real Madrid, Thibaut Courtois, ametabiri kuwa kikosi chao kitakutana na Manchester City katika hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulayua, kupitia droo itakayofanyika kesho Ijumaa.
Hakuna jinsi, Arsenal lazima iuze mastaa ARSENAL huenda ikalazimika kuuza angalau mchezaji mmoja wa kikosi cha kwanza dirisha lijalo la usajili wa majira ya kiangazi baada ya kutumia fedha nyingi katika misimu ya karibuni wakijaribu...
Evra awakaanga magwiji Man United wanaomkosoa Michael Carrick PATRICE Evra amewakosoa wachezaji wa zamani wa Manchester United kwa kile alichokiita uchambuzi wa hovyo dhidi ya kocha Michael Carrick, ambaye kwa sasa anafanya kazi ya kuinoa kwa muda miamba...
Kisa Krismasi, Arsenal hesabu hazitaki ITAKUAJE? Ndicho wanachojiuliza mashabiki wa Arsenal ambao kila wakifikiria rekodi za nyuma za timu hiyo katika mchaka mchaka wa Ligi Kuu England ifikapo Krismasi, hesabu za msimu huu hazisomi.
Hawa wamefunika mechi za kwanza AFCON 2025 KWENYE Boxing Day kulipigwa mechi nne za Afcon 2025, zilizokuwa za pili kwenye makundi wakati vigogo wa soka la Afrika walipoonyesha ubabe uwanjani kujaribu kufahamu hatima zao za kutinga raundi...
Misri yatangulia mtoano Afcon 2025 MKWAJU wa penalti uliopigwa na Mohamed Salah kwenye kipindi cha kwanza umeisaidia Misri iliyokuwa na wachezaji 10 uwanjani kuichapa Afrika Kusini 1-0 katika mchezo wa Kundi B uliofanyika Agadir,...