Sio kinyonge… Wasanii hawa watanogesha Marekani IKIWA imebakia wiki moja kabla ya kuanza kwa michuano ya Kombe la Dunia kwa klabu, tayari orodha ya wasanii watakaotumbuiza katika sherehe za ufunguzi wameshatangazwa.
Aziz Ki ana jambo lake na Man City leo MABEKI wa Manchester City watakabiliwa na shughuli pevu ya kumdhibiti Stephane Aziz Ki wa Wydad AC wakati miamba hiyo itakapokutana kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi ya fainali za Kombe...
Winga Chelsea akaribia kifungo WINGA wa Chelsea, Mykhailo Mudryk, anakabiliwa na uwezekano wa kufungiwa hadi miaka minne baada ya kushtakiwa rasmi na Chama cha Soka cha England (FA) kuhusu ukiukaji wa kanuni za kupinga...
Man United v Newcastle… hii mechi imeshtua! NI kasheshe, unaweza kusema hivyo. Hii ni baada ya aliyekuwa mkuu wa waamuzi wa kulipwa kwenye Ligi Kuu England, Keith Hackett, kusema mechi ya Liverpool ya ushindi wa 3-2 dhidi ya Newcastle...
Tanzania, Nigeria zaweka rekodi Chan 2024 REKODI ni rekodi tu, haijalishi nzuri au mbaya. Unaweza kusema hivyo kufuatia kilichotokea kwa timu ya Taifa ya Tanzania maarufu Taifa Stars na ile ya Nigeria ijulikanayo kwa jina la Super Eagles.
Salah kabeba tuzo yake huko SUPASTAA wa Liverpool, Mohamed Salah amekuwa mchezaji wa kwanza kushinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka wa Chama cha Wanasoka wa kulipwa England mara tatu.
BURNA BOY: Dunia ya muziki inavyompa maisha INAWEZEKAN jina la Damini Ebunoluwa Ogulu likawa geni masikioni mwako, lakini ukisikia Burna Boy hushtuki kama ni mfuatilia wa muziki.
Rayvanny kutumbuiza ufunguzi wa CHAN, 2024 Kwa Mkapa Mwanamuziki wa Bongo Fleva Rayvanny (Raymond Mwakyusa) anatarajiwa kutumbuiza kwenye hafla ya ufunguzi wa Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), inayotarajiwa...
Mashabiki Simba wamuomba msamaha Kibu JITIHADA kubwa za kulisakama lango la Al Ahly katika mchezo wa jana zilikuwa zaidi miguuni mwa mshambuliaji Kibu Denis aliyefunga bao la kusawazisha. Ulikuwa mchezo mkali na wa kusisimua Simba...
Majembe ya Man United yamerudi MANCHESTER United imeongezewa mzuka baada ya beki wao wa kati, Leny Yoro na mastaa wengine wanne kurejea kwenye kikosi wakiwa fiti kwa ajili ya kuendeleza mapambano ya kuhakikisha timu inamaliza...