Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8129 results for Mwandishi Wetu :

  1. Bado sana… Liverpool haijamaliza ishu ya Jota

    BAADA ya kujitoa kwa namba mbalimbali ikiwamo kustaafisha jezi yake, mabosi wa Liverpool bado wameona haitoshi kumuenzi staa wao Diogo Jota na sasa wamepanga kufanya mambo kadhaa ambayo yataacha...

    JOTA Pict
  2. PRIME Kocha Yanga ashusha mafundi wengine wapya

    YANGA imebakiza hatua chache kumalizia usajili, lakini kocha mkuu wa timu hiyo, Romain Folz kuna mabadiliko anayoyafanya akipanga kushusha watu wengine wawili wapya Jangwani. Kocha huyo...

    MFARANSA Pict
  3. PRIME Mwenda arudishwa mlangoni kwenda Simba

    KAMA mabosi wa Yanga wangechelewa kidogo tu, ilikuwa inakula kwao baada ya beki wa kulia wa timu hiyo, Israel Mwenda kubakiza hatua chache kuchukuliwa, lakini mabingwa hao wakapindua...

    MWENDA Pict
  4.  England yachukua Euro kibabe ikilipa kisasi kwa Hispania

    Timu ya Taifa ya Wanawake ya England imeendelea kuonyesha ubabe wake Ulaya baada ya kubeba taji la mashindano ya Ulaya kwa Wanawake kwa mara ya pili mfululizo.

  5. Baada ya straika Gyokeres, Eberechi anafuata Arsenal

    BAADA ya kumpata straika wa Viktor Gyokeres, mabosi wa Arsenal sasa rasmi wamehamishia nguvu zao kwenye dili la mshambuliaji wa Crystal Palace, Eberechi Eze katika dirisha hili.

    FUNUNU Pict
  6. Gyokeres atoa sababu za kuzikataa Chelsea, United

    STAA mpya wa Arsenal, Viktor Gyokeres ameweka wazi sababu ambazo zilimfanya aichague timu hiyo na kukataa ofa nyingine zilizowasilishwa mezani katika dirisha hili.

    GYOKERES Pict
  7. Luis Diaz, Bayern Munich mambo mazuri

    MABOSI wa Liverpool wako tayari kulegeza msimamo wao kuhusu Luis Diaz na kukubali ofa ya chini ya Euro 80 milioni kutoka kwa Bayern Munich katika dirisha hili.

    DIAZ Pict
  8. Duh! Eti Palmer atatua Old Trafford

    ALIYEKUWA kocha wa kikosi cha kwanza cha Manchester United, Rene Meulensteen amefichua kwamba kuna siku moja kiungo wa Chelsea, Cole Palmer atakwenda kujiunga na miamba hiyo ya Old Trafford kwa...

  9. Paqueta msafi ishu ya kubeti

    KIUNGO wa boli, Lucas Paqueta anatarajiwa kusafishwa kwenye sakata la tuhuma za kubeti zilizokuwa zikimkabili, imeripotiwa.

  10. Dili la Isak Liverpool, ofa ya kitajiri

    ALEXANDER Isak amewekewa mezani ofa ya mshahara wa Pauni 32 milioni kwa mwaka kutoka Saudi Arabia, lakini moyo wake unataka kucheza Liverpool.

Previous

Page 398 of 813

Next