CHAN 2024: Burkina Faso, Mauritania vita nzito HATMA ya timu itakayoungana na Tanzania kutinga makundi ya michuano ya Ubingwa wa Nchi za Afrika (CHAN) 2024 kutoka Kundi B, inatarajiwa kujulikana leo Jumatano wakati mechi mbili tofauti...
PRIME Jeuri ya Yanga inavyotunisha misuli majina makubwa sambamba na makocha walioifanya iwe moja ya timu inayoogopewa nchini na barani Afrika, kitu ambacho Rais wa klabu hiyo, Hersi Said alitamba katika hafla ya kusaini mkataba. Hadi...
PRIME Waarabu wa Mzize, waibomoa RS Berkane ILE klabu inayomtaka mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize haitanii inakusanya mastaa hasa na sasa imepepelea kilio RS Berkane, ikiondoka na nahodha wa timu hiyo. Umm Salal ya Qatar...
Viktor Gyokeres apewa maua yake STAA wa zamani wa Sporting CP, Cristiano Ronaldo anauhakika straika mwingine wa zamani wa Sporting, Viktor Gyokeres atafanya balaa kwa sababu hana shaka juu ya kiwango chake.
CR7 amchumbia demu wake baada miaka tisa SUPASTAA, Cristiano Ronaldo hatimaye amemchumbia mpenzi wake wa muda mrefu, mrembo Georgina Rodriguez.
McCarthy amtaja Jose Mourinho Kenya KOCHA wa Kenya, Benni McCarthy amesema ushindi wao wa kihistoria dhidi ya Morocco kwenye CHAN 2024 umetokana na mbinu alizojifunza kutoka kwa Jose Mourinho, akisisitiza kucheza pungufu ya...
Rogath Akhwari atoa ahadi nzito RT SIKU chache kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Riadha nchini (RT), mgombea wa nafasi ua Urais, Rogath Akhwari ametoa ahadi nzito kwa kusema moja ya sababu zilizomfanya awanie...
Ukiukaji wa usalama wa uwanja unaumiza kichwa waandaaji CHAN 2024, KENYA Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limeitaka Kenya kuchukua hatua zinazoonekanakushughulikia ukiukaji wa usalama wa uwanja unaofanywa na mashabiki wakati wa mechi za Harambee Stars kwenye...
PRIME Sababu Mzize kutua Esperance BAADA ya danadana za muda mrefu juu ya dili la mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize kuuzwa nje ya nchini, hatimaye mabosi wa klabu hiyo wameridhia kutua Esperance ya Tunisia na kuelezwa sababu ya...
CAF yaiadhibu Kenya, yapunguza mashabiki Moi Kasarani Stori Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limetoa adhabu ya kupunguzwa kwa idadi ya mashabiki katika Uwanja wa Moi Kasarani uliopo Nairobi, Kenya kutokana na kujirudia kwa matukio ya vurugu...