Hamdani Said kuandika historia Kombe la Dunia Mwamuzi msaidizi wa kimataifa wa Tanzania, Hamdani Said ameteuliwa ni miongoni mwa marefa 12 wa Afrika walioteuliwa kuchezesha Fainali za Kombe la Dunia za Vijana chini ya umri wa miaka 17 mwezi...
Kuhusu Isak... Mambo saba yatajwa SAKATA la staa Alexander Isak na timu yake ya Newcastle United limezidi kushika sura mpya tangu atoke hadharani na kutoa kauli kali kuhusu mustakabali wake wa uhamisho.
CHAN 2024: Sudan inaitaka nusu, wachekelea sapoti Zanzibar KOCHA wa timu ya taifa la Sudan, Kwesi Appiah amesema wako tayari kwa robo fainali ya CHAN 2024 watakapokutana na Algeria ambao ni wanafainali za mwaka 2022.
Mo Salah aipa ubingwa Arsenal STAA wa Liverpool, Mohamed Salah anaamini Arsenal inaweza kuwa kwenye nafasi bora zaidi ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England msimu huu, baada ya miaka mitatu ya kuambulia patupu licha ya kuwa...
Kenya yalia na idadi ya mashabiki CHAN SERIKALI ya Kenya imewasilisha ombi rasmi kwa Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) likitaka idadi ya mashabiki watakaoshuhudia leo, Ijumaa mechi ya robo fainali ya michuano ya CHAN 2024 kati ya...
Mashabiki Liverpool washangilia kisa Trent MASHABIKI wa Liverpool walionyesha kufurahia sana baada ya beki wa zamani ambaye kwa sasa anaicheza Real Madrid, Trent Alexander-Arnold kutoonyesha kiwango bora katika mchezo wake wa kwanza wa La...
Nondo 7 za Stars kuiondosha Morocco BAADA ya Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kufuzu kwa mara ya kwanza hatua ya robo fainali ya michuano ya CHAN 2024, mjadala umeibuka kuhusu kikosi hicho kinakwenda kuikabili vipi Morocco...
PRIME Folz afanya maamuzi mazito Dar KAMA ulikuwa hufahamu kuna miezi kadhaa Yanga ilikuwa inajifua ikitumia viwanja vya kukodi, lakini juzi kikosi hicho kilirudi rasmi kambi yao iliyozoelekea lakini iliyokarabatiwa upya pale...
Man United yatoa msimamo kwa Rasmus Hojlund MANCHESTER United imeiambia Napoli na timu zote zinazomhitaji mshambuliaji wao wa kimataifa wa Denmark, Rasmus Hojlund, 22, zinatakiwa kutoa pesa au kumchukua kwa mkopo wenye kipengele cha...
Wakala wa Rodrygo atua England WINGA wa Real Madrid, Rodrygo, ambaye kwa sasa hana nafasi kikosini, anaonekana yupo mbioni kuondoka Santiago Bernabeu na kutua Ligi Kuu England ambako timu kama Manchester City na Liverpool...