TONGE MDOMONI: Mastaa waliokaribia kusaini kisha wakanaswa kwingine ARSENAL imeiacha Tottenham Hotspur kwenye mataa ikishangaa baada ya kuifanyia umafia kwenye usajili wa Eberechi Eze.
Hizi sura tatu mzuka mwingi MANCHESTER United imepoteza mechi ya kwanza ya Ligi Kuu England msimu huu mbele ya Arsenal inayokimbizia ubingwa.
Kivumbi kinaendelea tena wikiendi hii JOTO la Ligi Kuu England litapanda tena wikiendi hii ambapo timu zitarusha kete za pili kwenye mchakamchaka wa kuwania ubingwa wa ligi hiyo.
Eberechi Eze anavyoleta utamu Arsenal MIKEL Arteta amefanya umafia dhidi ya mahasimu wao wa London Kaskazini baada ya Arsenal kufanikiwa kunasa saini ya mshambuliaji ambaye alikuwa akielekea kwa wapinzani wao Tottenham Hotspur.
Kwa hili... Taifa Stars hatuwadai ACHANA na matokeo ya pambano la usiku wa jana Ijumaa la robo fainali ya michuano ya CHAN 2024 wakati Tanzania ilipokabiliana na Morocco kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam...
Mambo matatu muhimu dili la Isak KOCHA, Arne Slot amesema Liverpool itaendelea kufanya mchakato wa kunasa huduma ya straika wa Newcastle United, Alexander Isak katika siku za mwisho za kuelekea kufungwa kwa dirisha la usajili.
Chan 2024 kazi ipo huku sasa MECHI mbili za robo fainali za michuano ya CHAN 2024 zimepigwa jana Ijumaa na leo zinapigwa nyingine za mwisho ili kujua timu zitakazoumana katika nusu fainali, lakini kuna kazi inaendelea kwenye...
Alejandro Garnacho aziingiza vitani Tottenham, Chelsea TOTTENHAM Hotspur inajipanga kuingia katika kinyang’anyiro kuwania saini ya winga wa Manchester United na Argentina, Alejandro Garnacho, 21, ambaye pia anawindwa na Chelsea.
Kuna timu hii ya bure kabisa WAKATI dirisha la usajili likielekea ukingoni, klabu za Ligi Kuu England hazina woga kufungua pochi ili kunasa mastaa wapya.
Real Madrid yavamia kwa Wharton REAL Madrid imeingia kwenye mbio za kufukuzia saini ya staa wa Crystal Palace, Adam Wharton kwa mujibu wa taarifa kutoka Marekani.