Ruto awapongeza, awazawadia wanamichezo Kenya RAIS wa Kenya, William Ruto amewapongeza na kuwapa zawadi za heshima wachezaji wa timu ya Harambee Stars iliyshiriki michuano ya CHAN 2024 na wanamichezo wengine akiwahakikishia mazingira bora...
Baleke aibukia Rayon Sports STRAIKA wa zamani wa TP Mazembe, Simba na Yanga, Jean Baleke ametua Rayon Sports ya Rwanda kwa kupewa mwaka mmoja wa kuitumikia klabu hiyo iliyomaliza nafasi ya pili katika Ligi Kuu ya Rwanda...
Liverpool v Arsenal, gemu ya Eze! LIVERPOOL na Arsenal kinapigwa Jumapili ikiwa ni moja ya mechi ya kibabe kabisa ya msimu.
Mourinho anapiga tu pesa kijanja JOSE Mourinho ameweka mfukoni mkwanja mrefu karibu Pauni 100 milioni kwa sababu moja tu ya kufutwa kazi kwenye timu anazozinoa.
Carra: Gyokeres? Benchi lingemhusu GWIJI wa Ligi Kuu England na beki wa zamani wa Liverpool, Jamie Carragher anaamini kocha wa Arsenal, Mikel Arteta angemweka benchi straika Viktor Gyokeres kwenye kipute cha leo Jumapili huko...
Morocco yaweka rekodi CHAN ikitwaa ubingwa MOROCCO imeweka rekodi mpya katika michuano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) baada ya kutwaa taji la tatu ikiwa ndiyo timu iliyochukua mara nyingi zaidi.
Man United, Chelsea zagawa dozi EPL BRUNO Fernandes ameshusha presha kikosini Manchester United baada ya kufunga kwa mkwaju wa penalti katika dakika za majeruhi kuipa timu hiyo ushindi wake wa kwanza kwenye mikikimikiki ya Ligi Kuu...
Fainali ya rekodi, heshima CHAN 2024 FAINALI ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi ya Ndani (CHAN 2024), inapigwa leo kwenye Uwanja wa Moi Kasarani jijini Nairobi, Kenya, ambapo Madagascar itakuwa na kibarua cha kupambana dhidi...
Liverpool yapanda dau kwa Alexander Isak, mambo yako hivi LIVERPOOL inajiandaa kutoa ofa ya Pauni 130 milioni kwenda Newcastle United kwa ajili ya kumsajili straika wa klabu hiyo na timu ya taifa ya Sweden Alexander Isak, 25, katika dirisha hili.
Xavi Simons katua Spurs HATIMAYE, Xavi Simons amekamilisha uhamisho wake wa kutua kwenye Ligi Kuu England.