Pacome anukia Kombe la Dunia, Afrika Kusini hali tete Ivory Coast imejiweka katika nafasi nzuri ya kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya leo Ijumaa, Oktoba 10, 2025 kuibuka na ushindi mnono ugenini wa mabao 7-0 dhidi ya Shelisheli.
Mkhitaryan afichua Mourinho alivyomfanya aondoke Man United KIUNGO Henrikh Mkhitaryan amefichua ugomvi wake na kocha Jose Mourinho na ndio chanzo kilichomfanya afikie mwisho wa zama zake kuitumikia Manchester United.
Una hela? Hilo swali haliwahusu hawa jamaa UNA hela? Si unajua tena, siku hizi hapendwi mtu, linapendwa pochi.
Umeme wazua moto nyumbani kwa Vini Junior TATIZO la hitilafu ya umeme kutoka kwenye chumba cha sauna ndicho kilichoripotiwa kusababisha moto kwenye nyumba ya supastaa wa Real Madrid, Vinicius Jr.
Arsenal kuingiza Pauni 500,000 kwa kila mechi ARSENAL imeripotiwa kuwa kwenye mchakato wa kuingia dili litakaloifanya iongeze mapato yake ya kwenye mechi kuanzia msimu ujao.
Napoli sasa yamuomba Kobbie Mainoo kwa mkopo NAPOLI imewasilisha rasmi maombi kwenda Manchester United kwa ajili ya kumsajili kwa mkopo kiungo wa Manchester United na timu ya taifa ya England, Kobbie Mainoo, katika dirisha la usajili la...
Barcelona kusafiri umbali wa maili 10,000 BARCELONA inakabiliwa na kasheshe la kusafiri umbali wa karibu maili 10,000 siku chache kabla ya Krismasi kwenda kucheza mechi ya La Liga nje ya Hispania.
Manchester United inashangaa ishu ya kuuzwa MANCHESTER United imeripotiwa kupigwa butaa baada ya kuibuka kwa madai kwamba kuna mwekezaji mpya anatarajia kuichukua timu hiyo na kila kitu kipo kwenye hatua za mwisho kukamilika.