Timu kiboko kwa kuchelewesha muda England UNAKUWA kwenye hali gani, timu yako inahitaji bao na mpinzani unayekabiliana naye, wachezaji wake wanapoteza tu muda uwanjani, kwa kujiangusha au kuchelewa kurusha mpira au kupiga golikiki.
Liverpool, Man United utamu upo hapa Anfield LIVERPOOL pengine imejeruhiwa, lakini Manchester United itahitaji kuwa fiti kwenye maeneo mengi kupata matokeo ya uwanjani Anfield, Jumapili.
Utaamua unarudi tena Ulaya LIGI Kuu za Ulaya zinarejea baada ya kupisha mikikimikiki ya mechi za kimataifa, huku mashabiki wakitarajia kuona kasheshe zito zitakalotokea kwenye Ligi Kuu England, La Liga, Bundesliga, Serie A...
Amorim hana presha, yuko freshi tu! WAKATI wa mapumziko ya mechi za kimataifa, umesikia mengi kuhusu Manchester United.
Bayern, Barca ni jino kwa jino kwa Dusan Vlahovic BARCELONA inaangalia uwezekano wa kumsajili mshambuliaji wa Juventus na timu ya taifa ya Serbia, Dusan Vlahovic, mwenye umri wa miaka 25, ambaye anatarajiwa kuwa mchezaji huru mwisho wa msimu huu.
Rice awaza ubingwa Kombe la Dunia KIUNGO ghali wa Arsenal, Declan Rice amesema tena kwa msisitizo kwamba England haipaswi kuwa waoga wa kusema itakwenda kushinda taji la Kombe la Dunia.
Watanzania waitwa kujaribu bahati Azam FC ikimsaka mrithi wa Popat Azam FC imetoa wito kwa Watanzania kuchangamkia nafasi ya Mtendaji Mkuu iliyoachwa wazi na Abdulkarim Nurdin maarufu kama Popat.
Petit: Wirtz? Hana ile thamani buana USAJILI wa Liverpool wa staa wa Pauni 116 milioni, Florian Wirtz ameanza vibaya maisha yake huko Anfield, hajafunga wala kuasisti kwenye Ligi Kuu England tangu alipojiunga kutoka Bayer Leverkusen.
Wawili watia presha Arsenal MASTAA Martin Zubimendi na Ben White wanampa presha kocha Mikel Arteta baada ya kudaiwa kuwa majeruhi wakati kikosi cha Arsenal kikijiandaa na mechi ya Ligi Kuu England dhidi ya Fulham.
Wembanyama anadaiwa kukaribia futi nane YULE fundi wa mpira wa kikapu wa kimataifa wa Ufaransa, Victor Wembanyama anadaiwa kuongezeka kwa nchi nne na sasa ikielezwa kwamba kuwa anakaribia urefu wa futi nane.