Wakazi Dar wazidi kujiachia na mnada mtandaoni, zawadi kemkem FURAHA inazidi kuongezeka kwa wakazi wa Dar es Salaam kutokana na kushiriki mnada mtandaoni na kujishindia zawadi mbalimbali na pesa.
Bondia afariki siku 11 baada ya kichapo cha KO BONDIA wa Ghana, Ernest Akushey amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 32 siku chache baada ya kupoteza pambano kwa kichapo cha knockout (KO).
Arteta kawa mbogo, awajibu Gary Neville, Jamie Carragher KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amepuuza madai ya wachambuzi waliosema kuwa Arsenal inacheza kwa kusita sita na kusisitiza kwamba falsafa yake ndiyo inayozalisha mashambulizi zaidi katika soka la...
Vinicius, Real Madrid kunafukuta MABOSI wa Real Madrid wamesisitiza kuwa hawatabadili ofa yao ya mkataba kwa fundi Vinicius Junior licha ya mvutano unaoendelea kati ya klabu hiyo ya Hispania na winga huyo wa kimataifa wa Brazil.
Mourinho anamtaka Benzema Benfica KOCHA mpya wa Benfica, Jose Mourinho anahitaji huduma ya mshambuliaji wa zamani wa Real Madrid, Karim Benzema kutoka Al-Ittihad ambayo ipo tayari kumuuza kwa bei chee.
Mirambo achukua mikoba ya Kidao TFF Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limemteua Oscar Mirambo kuwa Kaimu Katibu Mkuu akichukua nafasi ya Kidao Wilfred ambaye mkataba wake unafikia tamati Septemba 30 mwaka huu.
Barcelona yafikia patamu ishu ya Frenkie de Jong BARCELONA imepiga hatua kubwa katika mazungumzo na kiungo Frenkie de Jong, 28, ambaye amekubali kuongeza mkataba hadi mwaka 2029, pamoja na kukubali kupunguziwa mshahara.
Yule kocha wa Yanga mambo yamemchachia LICHA ya rekodi tamu aliyoiandika akiwa na Yanga kwa kuipa mataji matatu kwa mpigo, ikiwamo kuifumua Simba kwa mabao 2-0 katika pambano la Dabi ya Kariakoo iliyopigwa Juni 25 na kuwafanya vijana...
Shabiki United aliyegoma kunyoa afunguka SHABIKI wa Manchester United ambaye amekataa kukata nywele zake hadi timu hiyo ishinde mechi tano mfululizo amezungumza kuhusu shambulio alilopata kutoka kwa shabiki mwenzake.
Liverpool yamfariji Mohamed Salah TIMU ya Liverpool ilimtumia supastaa wake Mohamed Salah ujumbe wa faraja baada ya kuthibitishwa kuwa mshambuliaji huyo hakushinda tuzo ya Ballon d’Or 2025.