Pique kapiga bao la kujifunga kwa Shakira BARCELONA, HISPANIA. WANASEMA kama huna wa kukubembeleza, usinune. Supastaa, Gerard Pique anajutia kuachana na mrembo Shakira na alihitaji warudiane mwezi tuu baada ya kupigana vibuti, imeelezwa.
Wakala wa Rodrygo atua England WINGA wa Real Madrid, Rodrygo, ambaye kwa sasa hana nafasi kikosini, anaonekana yupo mbioni kuondoka Santiago Bernabeu na kutua Ligi Kuu England ambako timu kama Manchester City na Liverpool...
HERE WE GO… Mfahamu Fabrizo Romano "Here we go! Ni sentensi maarufu sana hususani kwa watu wanaofuatilia mpira wa miguu. Lakini huwa inaaminika sana ikiwa itatokea katika kinywa cha mtu mmoja tu, Fabrizo Romano.
Mwandishi Mwanaspoti apewa cheti cha Heshima na Ubalozi wa Marekani MWANDISHI wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited ambaye amekuwa akiandikia gazeti namba moja la michezo Tanzania, Mwanaspoti, Nevumba Abubakar, ameandika historia mpya katika taaluma...
Mugalu anawatamani Yanga STRAIKA wa Simba, Chris Mugalu amerejea rasmi mazoezini juzi Jumatatu jioni na kumwambia Mwandishi wa Mwanaspoti, Thobias Sebastian kwamba ; “Naitamani sana hiyo mechi ya Yanga.” Mugalu...
Modrick asusia maswali ya waandishi NAHODHA wa timu ya taifa ya Croatia, Luka Modrid alionyesha kuchukizwa na maswali ya mwandishi juu ya umri wa wachezaji wa taifa hilo mara baada ya mchezo dhidi ya Albania na kuamua kuondoka.
Riadha Pwani yapata viongozi wapya CHAMA cha Riadha Mkoa wa Pwani kimepata viongozi wapya watakaokiongoza kwa miaka minne, akiwamo Mwandishi wa Habari wa Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL), Imani Makongoro.
Mwinyi Kazimoto amdunda mwandishi BAADA ya kiwango chake kushuka ghafla na kutokuwa na uhakika wa kucheza kikosi cha kwanza cha Simba, Mwinyi Kazimoto ameanza mazoezi ya kubadili fani huku umri ukionekana kumtupa mkono.
Mrithi wa Casemiro akaribia kutua Old Trafford KWA mujibu wa mwandishi wa habari za usajili kutoka Italia, Alfredo Pedulla, Manchester United inaongoza mbio za kumsajili kiungo wa Atalanta, Ederson ambaye anatazamwa kama mrithi wa Casemiro.