Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

9176 results for Mwandishi :

  1. Fainali ya AFCON 2025; Senegal wanaye Mane, Morocco yupo Brahim

    HAYAWI hayawi, ndiyo hivyo yamekuwa sasa. Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) TotalEnergies Morocco 2025 itachezwa kati ya Senegal na wenyeji Morocco siku ya Jumapili, Januari 18 katika...

    AFCON Pict
  2. Mahadhi: Yanga walimleta mama uwanja wa ndege

    TANZANIA imebarikiwa kuwa na wachezaji wengi mahiri na kila mgeni aliyewahi kufika hapa nchini, amekuwa akisema Tanzania ina wachezaji wengi bora. Baadhi ya watu maarufu katika soka duniani...

  3. Miaka 60 ya kihistoria michezoni

    DESEMBA 9, mwaka huu Watanzania hususan wale wa Tanzania Bara wataadhimisha miaka 60 tangu Tanganyika ipate Uhuru kutoka kwa Waingereza. Ukiitazama historia kuanzia soka na michezo mingine kuna...

  4. Chama la Wakongo mziki wake Yanga si mchezo!

    MASHABIKI wa Simba wameanza kuliimba jina la straika mpya wa timu hiyo kutoka DR Congo, Jean Baleke baada ya kufunga mabao mawili katika mechi za Ligi Kuu Bara. Straika huyo amekuwa mchezaji wa...

  5. PRIME Misimu 15 ya Azam Bara sio mchezo

    LIGI Kuu Bara msimu wa 2023-2024 unatarajiwa kuanza kati ya Agosti na Septemba ikishirikisha jumla ya timu 16, zikiwamo tatu zilizopanda daraja kutoka Ligi ya Championship. Timu hizo zilizopanda...

  6. Simba na Warundi ni damudamu!

    NI ukweli usiopingika, soka la Tanzania limekuwa kivutio kwa nyota wa kigeni tangu miaka ya 1970 hadi leo, ikishuhudiwa mastaa mbalimbali kutoka mataifa tofauti wakimiminika kuja kucheza...

  7. Mzee Ruksa alivyochangamsha michezo

    MZEE Ruksa ameumaliza mwendo. Miaka 98 ya uhai wake duniani imefikia tamati juzi Februari 29 baada ya kutangazwa amefariki dunia. Alikuwa amekabakisha miaka miwili tu kutimiza karne moja. Sio...

  8. VAR inang'ata na kupuliza Kombe la Dunia 2026

    Mfumo wa matumizi video za usaidizi kwa waamuzi 'Video Assistant Referee' (VAR) umeendelea kuzua mijadala kila uchwao.

    VAR Pict
  9. PRIME Ilikuwa ni lazima wapewe Thank You

    SIMBA imetangaza kuacha wachezaji nane, huku Yanga ikiwatema wanne, ilihali Azam ikiwapiga chini nyota saba akiwamo aliyekuwa kocha mchezaji, Aggrey Morris aliyedumu katika kikosi hicho kwa muda...

  10. Matola atumiwa nauli aingia mitini -1

    MOJA ya makocha chipukizi wazawa ambao wanaaminika kuwa ni bora kwenye soka la Tanzania kwa sasa basi ni kocha msaidizi wa Simba Suleiman Matola ambaye amefanya mambo makubwa kadhaa kwenye soka...

Previous

Page 917 of 918

Next