Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

9169 results for Mwandishi :

  1. PRIME BADO MBILI LIGI KUU!

    BILA shaka ulishuhudia ushindani wa Yanga na Simba katika mechi ya Ngao ya Jamii, iliyoashiria kufunguliwa kwa msimu wa mashindano yanayosimamiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)...

  2. Huyu hapa Panenka mwenye panenka yake

    KATIKA soka, Panenka ni mbinu ya kupiga penalti na mpigaji badala ya kuupiga mpira kwenda kushoto au kulia mwa kipa, huugusa kwa ustadi kutoka chini na kuuinua taratibu katikati ya lango.

    PANE PICT
  3. Hao Morocco tunao kesho

    MWANZO mzuri. Taifa Stars juzi usiku ilianza vyema mechi za makundi ya kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya kuinyoa Niger bao 1-0 na jana ilirejea nchini ili kuikabili Morocco...

  4. PRIME Benchikha ana dakika 360 tu Simba

    TUKUTANE Kwa Mkapa. Ndio kituo kinachofuata kwa Simba baada ya jana usiku kupoteza mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Casablanca kwa kuchapwa bao 1-0, ugenini kwenye Uwanja wa...

  5. Wanasubiriwa kwa hamu Jangwani

    LEO NDIO LEO. Yanga wanawasha mitambo kwenye siku yao. Mambo yote yatakuwa hadharani kwenye Uwanja wa Mkapa wakikiwasha na Kaizer Chiefs inayojipanga upya kwa msimu mpya. Hata kama ulimisi zile...

  6. Waarabu wawawekea Simba video za ngono

    JANA tuliishia sehemu ambayo wachezaji wa Simba wamepewa hoteli yenye vurugu za kutosha, ilikuwa sehemu yenye fujo sana na ipo katikati ya jiji wakiwa ghorofa ya pili, lakini juu yao kuna ukumbi...

  7. MZEE WA UPUPU: Mgunda katika njia ya Tito Mwaluvanda

    MWAKA 1997, Yanga ilimfukuza kocha wake raia wa Uingereza, Steve McLennan na timu kubaki kwa msaidizi wake, Juma Pondamali hadi mwisho wa msimu. Msimu mpya wa 1998 ulipoanza, mwenyekiti wa klabu...

  8. Matola -10 : Mechi za Yanga sio mchezo

    JANA tuliishia sehemu ambayo Matola anaeleza jinsi Simba ilivyoondolewa kwenye hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika mwaka 2003, akikiri kwamba kundi lao lilikuwa dume kwelikweli kutokana...

  9. Ushirika Moshi iliupiga sana mwingi balaa!

    KWA sasa mashabiki wa Simba wamekuwa wakipagawa na soka tamu linalopigwa na kina Luis Miquissone, Clatous Chama na Larry Bwalya, lakini asikuambie mtu kuna timu ilikuwa balaa enzi hizo, iliitwa...

  10. Matola makocha wanakuja na kumuacha Simba

    KISTAAJABU ya Mussa utayaona ya Firauni; hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya Kocha wa Simba, Zorani Maki kuondoka huku akikimbizana na rekodi ya aliyewahi kuwa Kocha wa Yanga, Zlatko Krmpotic...

Previous

Page 896 of 917

Next