MZEE WA UPUPU: Azam FC wamebadilika, Mbombo na Hamahama ni shida
TANGU ujio wa kocha mpya wa Azam FC, Abdihamid Moallin, timu hiyo imekuwa tofauti kabisa. Inacheza soka safi, inapata matokeo na inafunga mabao mengi.
Kabla ya Moallin, Azam FC ilikuwa haijawahi...