De Bruyne kwenda Arsenal? Arteta apewa majembe sita ya kutwaa taji la ligi SWALI tamu, je Arsenal itamsajili Kevin De Bruyne na Antony dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi?
Hawa wapo kwenye hatari ya kukosa Kombe la Dunia 2026 FAINALI za Kombe la Dunia 2026 zimebakiza mwaka mmoja tu kuanza, lakini utashangaa kuna nchi kadhaa zenye majina makubwa ambazo zimezoeleka kucheza michuano hiyo zinaweza kushindwa kukipiga huko...
PRIME Célestin Ecua atuma salamu nzito SAA chache baada ya Célestin Ecua kutambulishwa kuwa mchezaji wa Yanga, mwenyewe ameibuka na kutuma ujumbe wenye ahadi ya kufanya vizuri zaidi kuipa mafanikio klabu hiyo ambayo msimu uliopita...
SPOTI DOKTA: Diego Simeone kocha mtata kitabia KATIKA Ligi Kuu ya Hispania, La Liga huwa ni vigumu kupita mechi kadhaa kwa kocha wa Atletico Madrid, Diego Simeone raia wa nchi ya Argentina bila kukosekana kwa kadi za njano au nyekundu au...
Kombe la dunia la klabu, Marekani kumenoga IKIWA zimebakia siku tisa kabla ya kuanza kwa michuano ya Kombe la Dunia la klabu itakayopigwa kule Marekani, maandalizi ndani ya nchi yanaripotiwa kuwa yameshamilika na sasa kinachosubiriwa ni...
Mastaa wanaoongoza kwa kila timu EPL 2025/26 MASTAA wa Ligi Kuu England ni miongoni mwa wanamichezo wanaolipwa pesa nyingi zaidi duniani. Kuna baadhi wanalipwa pesa nyingi kuliko inayolipwa kwa kikosi kizima kwa baadhi ya timu.
MTU WA MPIRA: Yanga ina mengi ya kujifunza kwa Simba kimataifa KUNA wakati huwa hatupendi ukweli. Tunapenda kudanganyana kwa sababu tu ya ushabiki. Ni kama hili la Simba na Yanga kimataifa. Nimeona tambo za Yanga katika michuano ya Kombe la Shirikisho.
PRIME Sasa ni Kamati ya Uchaguzi kuonyesha weledi, uhuru HIVI karibuni wakati sakata la mechi ya Simba na Yanga likianza kupamba moto, kulivumishwa habari kuwa Shirikisho la Kimataifa la Soka (Fifa), litatuma wawakilishi wake kuja kuchunguza mambo...
PRIME Aucho aigomea Yanga, kuibukia huku! HAKUNA ubishi mashabiki wa Yanga wanafahamu kuna baadhi ya mashine zilizowapa heshima msimu uliopita kwa kutwaa mataji matano zinaweza kuondoka kwa ajili ya kusukwa upya kwa kikosi kijacho kwa...
PRIME Kocha mpya Yanga anataka bao tano! VIONGOZI wa Yanga wamepanga Jumapili hii kuanza msimu mpya kwa kutambulisha benchi jipya la ufundi kisha kutangaza mastaa waliopewa ‘thank you’ na kumalizia wapya waliosajiliwa kabla ya timu...