MWANASPOTI latua KRC Genk laibua ufalme wa Samatta Kilichofuata baada ya hapo ni historia. Historia ya Mtanzania wa kwanza kutamba Ulaya kwa kiasi kikubwa na kukaribia kabisa kuwa mfungaji bora katika Ligi Kuu ya Ubelgiji. Miaka mitatu baadaye...
HISIA ZANGU: Morrison kutoka Yanga hadi kutua Yanga KAMA biashara ya magendo hivi. Juzi usiku Yanga walitangaza kumrudisha Bernard Morrison saa sita na dakika moja usiku. Kabla ya hapo ilikuwa moja kati ya siri ambazo zilitunzwa vibaya zaidi...
Hiki hapa kikosi bora hatua ya makundi AFCON 2025 HATUA ya makundi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 nchini Morocco na leo Jumamosi, Januari 3 utaanza rasmi mchakamchaka wa hatua ya mtoano ya 16 bora.
UEFA: Arsenal yafuzu mtoano, Man City hoi ARSENAL imeweka rekodi mpya ya klabu katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa ushindi wao wa saba mfululizo, baada ya kuifunga Inter Milan 3-1 katika Uwanja wa San Siro usiku wa Jumanne.
Mabingwa Ulaya... Ukizubaa unaachwa HALI ni tete katika kuelekea siku ya mwisho inayotarajiwa kuwa ya kusisimua sana katika hatua ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, huku timu 30 bado zikisubiri kuamua hatima zao. Shughuli hiyo pevu...
Martinelli aingia anga za Madrid, bei yatajwa RIPOTI zinafichua Real Madrid imeonyesha nia ya kumsajili mshambuliaji wa Arsenal, Gabriel Martinelli, katika harakati za kuboresha safu yao ya ushambuliaji, inaelezwa.
Kawhi ndani ya 10 bora wanaowania MVP NBA ACHANA na bonge la mechi linalochezwa leo, Jumapili, la mastaa wa Ligi ya Kikapu Marekani (NBA) maarufu All-Star Game 2026, nyuma ya mtangange huo kuna lile vaibu ambalo bado linaendelea kusaka...
Afcon 2025 itakavyoacha balaa Ligi Kuu England KIVUMBI cha kusaka ubingwa wa Afrika kwa timu za taifa maarufu kama Afcon kitaanza rasmi huko Morocco kuanzia Desemba 21, 2025.