PRIME Folz afanya maamuzi mazito Dar KAMA ulikuwa hufahamu kuna miezi kadhaa Yanga ilikuwa inajifua ikitumia viwanja vya kukodi, lakini juzi kikosi hicho kilirudi rasmi kambi yao iliyozoelekea lakini iliyokarabatiwa upya pale...
MAONI: Kila la kheri Simba kwenye historia mpya LEO ndio leo kwenye historia ya soka la barani Afrika. Simba inakwenda kuandika historia mpya katika ufunguzi wa wa michuano ya African Football League ambayo yanazinduliwa kwenye |Uwanja wa...
NIPE, NIKUPE: Dili za kibabe za kubadilishana wachezaji kwenye soka LISEMWALO kwa sasa kwenye dirisha hili la uhamisho wa wanasoka huko Ulaya, kuna uwezekano wa kutokea kwa dili tamu kabisa kwa klabu za Chelsea na Manchester United kubadilishana wachezaji.
PRIME Habari mpya kuhusu Kocha wa Yanga YANGA inaendelea na marekebisho kadhaa ya kiufundi kwenye kikosi chake kuelekea kwenye maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu Bara na michuano ya kimataifa. Mabingwa hao wa Ligi Kuu Bara mara...
Waamuzi wa ligi za Ulaya wanavyolipwa kibabe NANI hapendi kufanya kazi isiyolipa vizuri, hasa kazi yenyewe ikiwa ya lawama nyingi kama ya urefa wa soka.
Nyota 10 waliopo sokoni NBA SOKO la wachezaji huru katika Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Marekani (NBA) linaelekea ukingoni huku shughuli nyingi za uhamisho zikitarajiwa kupungua kwa kasi kabla ya timu na viongozi wake kwenda...
Hawa hapa watupiaji wa Klabu Bingwa Dunia MWEZI ujao, macho ya ulimwengu wa soka yatageukia Marekani ambako kutafanyika mashindano ya Kombe la Dunia la Klabu ambapo utakuwa ni muundo mpya utakaohusisha timu 32 bora kutoka mabara yote.
Mastaa hawa fainali ni kawaida UTAMU wa michuano ya Klabu Bingwa ya Dunia inayokuja kwa mfumo mpya unakaribia kuanza huku, zianikwa baadhi ya rekodi zilizowahi kuwekwa na zinazoweza kuwekwa katika mashindano hayo makubwa...
Mastaa wanaokwenda Kombe la Dunia la Klabu kibosi KIVUMBI cha michuano mipya ya Fifa ya Kombe la Dunia la Klabu kinatarajiwa kuanza Juni 15 hadi Julai 13 na timu 32 zilizopangwa kwenye makundi manane ya timu nne, zitachuana kusaka ubingwa huo...
Mzee Samatta umeenda, hadithi zako tutazisimulia ALIYEKUWA Rais wa Awamu ya Pili Tanzania, Ali Hassan Mwinyi, aliwahi kusema maisha ya mwanadamu ni hadithi tu hapa duniani, kwa sasa msemo huo unatumika kumsimulia maisha ya staa wa zamani wa...