Ni wikiendi ya Chasambi na Waziri junior SIMBA wana Ladack Chasambi wamoto na KMC wanatambia Wazir Junior. Shughuli ipo kesho kwenye Uwanjwa Sheikh Amri Abeid. Ni wachezaji wawili wazawa ambao katika wiki za hivikaribuni takwimu zao...
MO SALAH! Kuna kitu anafundisha EPL SUPASTAA Mohamed Salah amebakiza miezi isiyozidi sita kwenye mkataba wake wa sasa huko Liverpool.
PRIME Lamine alipozaliwa mwaka wa Ballon d’Or kuwa ya magwiji watupu KINDA wa Barcelona, Lamine Yamal hakika ndiye mchezaji kijana anayevutia zaidi kumtazama kwa sasa tangu alipoibuka Kylian Mbappe na kabla ya hapo masupastaa wawili, Lionel Messi na Cristiano...
Makocha hawa mashabiki wanatamani kuwaona Kombe la Dunia FAINALI za Kombe la Dunia 2026 zimebakiza mwaka mmoja tu kuanza, huku mashabiki wengi wakitamani kuona baadhi ya makocha wa kwenye timu za klabu wapewe dili za timu za taifa ili wakaonyeshane...
Usiichukulie poa CHAN 2024 FAINALI za Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN 2024) ufunguzi wake ni leo Jumamosi Agosti 2, 2025 na wenyeji Tanzania watacheza dhidi ya Burkina Faso kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
KAABI: Kutoka CHAN hadi mfungaji bora Ulaya KADRI mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani yakianza leo, majina ya mastaa kadhaa yamekuwa yakikumbukwa lakini kubwa zaidi ni la mwamba wa Morocco Ayoub El Kaabi aliyetumia...
UTAMU UPO HAPA: Newcastle inavyonogesha vita ya michuano ya Ulaya kwa kushinda Kombe la Ligi NEWCASTLE United imeshinda taji lake la kwanza kwa msimu huu wa 2024/25 baada ya kuichapa Liverpool 2-1 kwenye fainali ya Kombe la Ligi iliyofanyika uwanjani Wembley, Jumapili.
Uefa Nations League… Kila kitu kipo hapa MICHUANO ya Uefa Nations League ilimalizika juzi kwa Ureno kushinda taji hilo mbele ya Hispania katika mchezo ambao mikwaju ya penalti ilitumika kuamua mshindi baada ya kutoshana nguvu kwa mabao...
PRIME Miloud ashindwa kujizuia kwa Pacome YANGA imefanya mauaji jijini Mbeya ilipoivuruga Tanzania Prisons kwa mabao 5-0, kisha fasta ikageuka na kurejea Dar es Salaam usiku wa jana ili kujiandaa na safari ya kwenda Zanzibar kuvaana na...
Gwiji kasema... Kuna mtu anapigwa! LONDON, ENGLAND: MCHAKAMCHAKA wa Ligi Kuu England unarudi wikiendi hii, ambapo kivumbi cha maana kitakuwa huko Anfield, wakati Liverpool itakapojimwaga nyumbani kukabiliana na Arsenal. Mechi...