Undani mchezo wa bao na watu wa Pwani. Kwenye ngoma hizo Wazaramo na Wandengereko walikuwa wakichapana bakora hadi kufikia hatua ya baadhi ya washiriki walikuwa wanakufa kutokana na ngoma hiyo. Kwakuwa Mwalimu alikuwa...
Waziri atua Dodoma Jiji UONGOZI wa Dodoma jiji FC, umesema tayari umekamilisha usajili wa aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga, Waziri Jonior kuimarisha safu ya ushambuliaji ya timu hiyo kwa msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania...
Simba yaanza na gia kubwa, kuweka kambi Arusha BAADA ya kurejea nchini, mabosi wazito wa Simba walikutana faragha jijini Dar es Salaam kupanga mikakati mipya ya namna kuanza msimu kwa kishindo wakiwa kwenye ubora wao uliozoeleka. Simba...
Simba wavunja mkataba wa Mhilu Kagera Baada ya kuwepo sintofahamu kuhusu usajili wa mshambuliaji nyota wa Kitanzania, Yusf Mhilu hatimaye klabu yake imetoa baraka kwa mchezaji huyo. Mhilu alitambulishwa Simba Agosti 4 mwaka huu kuwa...
Simba yaandika rekodi Al Ahly ACHANA na rekodi za kuwafunga kila mara wanapokanyaga kwenye Uwanja wa Mkapa kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba imeandika rekodi nyingine dhidi ya Al Ahly ya Misri. Luis Jose waliyemuuza kwa...
Morrison ampiga kijembe Manara STAA wa Simba, Bernard Morrison amempiga kijembe msemaji wa Yanga, Haji Manara baada ya kukomenti kwenye posti yake huko Instagram, kwamba anapenda kwenda Uwanja wa Ndege kuliko kubeba...
Senzo halafu Manara sasa kazi iendelee INAWEZEKANA maisha yanakwenda kasi sana. Au pengine kuna maandiko yanakwenda kutimia. Hakuna shabiki yeyote aliyedhani kwamba kuna siku Haji Manara atatua Yanga. Wiki hii ametambulishwa Jangwani...
Haji Manara na hadithi ya tikiti maji HABARI ya mjini kwa sasa ni Haji Manara. Kitendo chake cha kutua Yanga akitokea Simba, huku akiwa mmoja ya watu waliokuwa wakiwanyima raha Wanajangwani, imezua mijadala mingi nchini na kushangaza...
Kigogo Yanga ang’atuka, amgusia Manara SAA chache tu baada ya aliyekuwa Msemaji wa Simba, Haji Manara kujiunga na Yanga, Kigogo wa klabu hiyo na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo, Athuman Kihamia ametangaza kujiuzulu na...
KMC yatimkia Moro, wajiandaa kutambulisha mastaa wao KLABU ya KMC FC imeanza rasmi kambi kwa ajili ya kujiandaa vizuri na msimu mpya wa Ligi kuu soka Tanzania Bara 2021/2022 kwa kuamua kulihama jiji la Dar es Salaam na kwenda kujichimbia Morogoro.