Kamati ya leseni za klabu yenyewe haina leseni SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), imetangaza kuufungia kwa muda usiojulikana Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi uliopo mjini Tabora kutokana na kutokidhi vigezo.
Kitonga cha bidhaa mtandaoni chazidi kuwafurahisha watanzania UNAKAA kinyonge na una simu janja? Wenzako wanazidi kufurahia maisha kwa kujinyakulia zawadi mbalimbali mtandaoni, huku watatu jijini Dar es Salaam wakiondoka na bidhaa zenye thamani ya Sh3...
Kuna swali? Lakers bila LeBron James LOS Angeles Lakers imejikuta kwenye wakati mgumu kuelekea mwanzo wa msimu mpya wa NBA 2025/26, baada ya kuthibitishwa kuwa nyota wa timu hiyo LeBron James hatakuwepo kwenye michezo ya awali...
Simba ya meneja yafanya ukatili Eswatini SIMBA imetanguliza mguu mmoja kwenye hatua ya makundi baada ya kupata ushindi wa kishindo wa mabao 3-0 ugenini Eswatini dhidi ya Nsingizini Hotspurs katika mechi yao ya kwanza ya hatua ya pili ya...
Mpango wa Villarreal vs Barcelona kuchezwa Marekani wafutwa Mechi ya La Liga kati ya Villarreal na Barcelona iliyokuwa ichezwe jijini Miami imeahirishwa, huku waandaaji wa tukio hilo, Relevent, wakisema hakuna muda wa kutosha kuandaa hafla hiyo.
Jesus, Raiane mfano wa upendo ulioshinda visa KATIKA ulimwengu wa soka baadhi ya hadithi za nje ya uwanja hujulikana - moja ya hadithi hizo ni ile ya mshambuliaji wa Arsenal kutoka Brazil, Gabriel Jesus, 28, na mchumba wake Raiane Lima, 24...
PUMZI YA MOTO: Uraia tajnisi ulivyomponza Kalusha Bwalya KALUSHA ‘The Great Kalu’, Bwalya, ni mwanasoka bora na mwenye mafanikio zaidi kuwahi kutokea Zambia.
Prince Dube aishi kifahari dar, aiponza Yanga MWANASPOTI linajua vigogo walio karibu na Yanga wamempa maisha ya kifahari staa anayepambana kuvunja mkataba na Azam, Prince Dube lakini klabu imeingia msituni kwa staili ya tofauti. Dube kwa...