PRIME Hapa Ziyech, pale Aziz Ki kuna kitu kinapikwa Wydad SUPASTAA Hakim Ziyech amekubali kujiunga bure na Wydad Casablanca ya Morocco baada ya kutokuwa kwenye timu yoyote kwa kipindi cha miezi mitano.
Wakanyaga pedeli tajiri zaidi muda wote duniani KATIKA kila ulimwengu wa mchezo husika kuna wababe wake uwanjani ambao ndiyo walioukamata na majina yao hutajwa kwa mengi hasa namna wanaocheza. Lakini, kila mchezo una kipato chake.
Arsene Wenger aponda usajili wa Wirtz Liverpool NGULI wa soka, Arsene Wenger amesema Liverpool imeamua kuiharibu safu yao ya kiungo bora kabisa kwa uamuzi wao wa kumsajili Florian Wirtz kama Namba 10 mpya msimu huu huku Mjerumani huyo...
PRIME NIONAVYO: Waamuzi ligi kuu ni changamoto JANA usiku nilibahatika kuhudhuria mdahalo kwa njia ya mtandao ulioendeshwa na gazeti dada la Mwananchi kupitia ukurasa wake wa X ambao zamani uliitwa Twitter.
Tusker vs Kenya Police vita ya kileleni Ligi Kuu Kenya WIKIENDI hii katika mchezo wa kutazamwa zaidi kwenye Ligi Kuu ya Kenya (FKF-PL) utakuwa ni kati ya Tusker na Kenya Police, utakaochezwa Uwanja wa Kenyatta uliopo Machakos.
Nyuma ya fujo za Lamar kuna Whitney RAPA wa Marekani, Kendrick Lamar, 37, amefanya sana fujo katika ulimwengu wa muziki wiki hizi mbili akigonga vichwa vya habari kila kona ya dunia kufuatia matukio mawili makubwa yaliyoacha alama...
PRIME Utata Ngassa kuwa mfungaji bora wa Taifa Stars Tarehe kama ya jana, Disemba Mosi, mwaka 2006, Mrisho Khalfan Ngassa aliifungia Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars) bao moja katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Djibouti, kwenye mashindano ya CECAFA...
TOP 5: Waliondoka kwa kuzinguana, wakaenda kukiwasha klabu mpya KATIKA dirisha la usajili la majira ya baridi lililomalizika, staa wa Manchester United, Marcush Rashford alikamilisha uhamisho wa kujiunga na Aston Villa kwa mkopo wa nusu msimu.
‘Moyo wa Manji ulikuwa Yanga’ Baada ya mwenyekiti na mfadhili wa zamani wa Yanga Yusuf Manji kufariki Jumamosi iliyopita, aliyekuwa mwanasheria wa timu hiyo, Onesmo Mpinzile ameeleza mengi kumhusu mfanyabiashara huyo.
Aziz Ki amvuta Chama Yanga HIVI karibuni kuna jambo kubwa kwenye soka linakwenda kutokea. Achana na ubingwa wa Yanga ambayo inaweza kutangaza leo, lakini kuna lingine ambalo linalomhusisha staa wa Simba, Mzambia Clatous...