Chama akwama kambi Simba MSHAMBULIAJI Yusuph Mhilu alikuwa mchezaji wa kwanza kutinga kambi ya Simba iliyoanza baada ya mapumziko mafupi ya siku tano, huku kiungo Clatous Chama akikwama kutua kwa wakati tofauti na...
Aussems: Morrison Yanga atacheza MAKOCHA wa zamani wa kigeni wa Simba na Yanga wamesema kwamba Bernard Morrison aliyepumzishwa na Simba mpaka mwisho wa msimu ana nafasi kwenye kikosi cha Jangwani kama akitulia. Patrick Aussems...
Simba, Yanga yasogezwa tena mbele Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza kusogeza mbele muda wa kuchezwa mechi ya Simba dhidi ya Yanga kutoka saa 11:00 jioni hadi saa 1:00 usiku. Taarifa waliyoitoa mchana huu TFF imeeleza...
Maandalizi yaiva Simba, Yanga Katibu wa Chama cha Soka mkoa wa Kigoma (KFA), Omary Gindi amesema maandalizi ya mchezo wa fainali kati ya Simba dhidi ya Yanga yanaendelea vizuri licha ya changamoto kadhaa ambazo wamekuwa...
LIVE KUTOKA MISRI: Ratiba ipo poa, lakini... AZAM FC bado ipo kambini mjini El Gouna, Misri na juzi usiku ilicheza mechi ya pili ya kujipima nguvu dhidi ya Grand na kushinda bao 1-0 lililowekwa kimiani na nyota mpya, Tape Edinho, lakini...
Bayo: Wanaopinga uongozi wangu RT hawajui watendalo Siku kadhaa baada ya kuibuka taarifa za kupingwa kuwa makamu wa rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), John Bayo amesema walioibua mjadara huo hawajui watendalo. Bayo alichaguliwa miezi...
NBC yamwaga mikopo ya mabasi klabu Ligi Kuu Mwanza. Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambaye ni mdhamini mkuu wa Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara (NBC Premiere League) imesisitiza kuhusu dhamira yake ya kuboresha zaidi ligi hiyo kwa...
Hashim afunguka kuvunjwa rekodi kadi za njano Dabi MEI 6, 2012 kwenye Uwanja wa Mkapa, Mwamuzi wa Mechi ya Watani wa Jadi, Hashim Abdallah alitoa kadi saba za njano pamoja na penalti tatu upande wa Simba rekodi ambayo haikuvunjwa upande wa kadi...
Nyie Okwa anatisha, aamsha vita ya namba Simba KAMBI ya Simba imezidi kunoga kwa kocha Zoran Maki akiendelea kuwapika vijana wake, huku akimkomalia John Bocco, lakini nyota mpya wa timu hiyo Nelson Okwa amevunja ukimya na kuamsha vita ya...
ZILITRENDI: Mserbia acharukia uongozi wa Yanga TAREHE kama ya leo ya Machi 24, lakini mwaka 2008 iliripotiwa taarifa ya Kocha Msernia, Dusan Kondic kuucharukia uongozi wa Yanga kwa madai ya kufanya mambo bila ya taratibu hali inayosababisha...