Man City yaandaliwa ofa Madrid kwa Rodri PARIS Saint-Germain (PSG) haina mpango wa kuwasilisha ofa ya kumsajili kiungo wa Manchester City na timu ya taifa ya Hispania, Rodrigo Hernandez Cascante maarufu Rodri ambaye alishinda Kombe la...
Uchaguzi Yanga: Munir na Khimji wafunguka dira zao TUNAENDELEA kumulika Uchaguzi Mkuu wa Yanga, tukiangalia wasifu mbalimbali wa wagombea wa nafasi mbili za urais, makamu wake na wajumbe wa kamati ya utendaji ambao wataingia kuwania nafasi saba...
Inter sasa yatua kwa Jones INTER Milan ipo tayari kutoa Pauni 30 milioni kwa Curtis Jones, lakini Liverpool wanataka zaidi.
Osimhen achomoza Spurs, kambi yake ikitafakari ofa TOTTENHAM Hotspur imewasilisha ofa ya awali yenye thamani ya Pauni 55 milioni kwa ajili ya usajili wa mshambuliaji wa Galatasaray, Victor Osimhen. Hata hivyo, mabingwa hao wa Uturuki wanataka...
NIONAVYO: Ni kweli wachezaji wetu wanapiga misosi sahihi? katika suala la lishe na utaalam wake,tunaweza kupata moja ya vitu vinavyotubakiza nyuma ya wengine katika maendeleo ya michezo. Mwandishi wa makala hii amewahi kuwa katibu Mkuu wa...
NIONAVYO: Matumizi ya madawa ya kuongeza nguvu michezoni ni vita ya kudumu zinazochukuliwa, elimu kwa wanamichezo ni silaha muhimu sana katika kufanikisha vita hii. Ni muhimu wanamichezo kujua tangu utotoni kwamba michezo ni michezo na siyo suala la kufa au kupona. Na...
Kwa Mbwana Samatta, hapana aisee! kuwa mfungaji wa Stars na katika mechi dhidi ya Zambia alifunga bao lake la 22 tangu aanze kuitumikia timu ya taifa ya Tanzania. Katika mazingira kama hayo, Samatta atalaumiwa sana lakini bado...
NIONAVYO: Utamaduni wa Kombe la Shirikisho ulindwe ili kuhakikisha chapa yake inakuwa tofauti (unique) na hivyo kuchangia katika kutoa burudani, maendeleo ya mpira wa miguu na pia kumpa thamani ya fedha yake mdhamini wa shindano. Ni muhimu Ligi...
Tangulia Chifu Ferdinand Kamuntu Ruhinda TAIFA liko msibani. Usiku wa juzi Ijumaa, saa 3:00 usiku alifariki dunia mmoja wa Watanzania walioweka alama ya pekee katika historia ya taifa letu, Balozi Chifu Ferdinand Kamuntu Ruhinda (1938-39).