Simbu, Manula, wabeba tuzo za BMT KIPA tegemeo wa Simba na Taifa Stars, Shomary Kapombe ametwaa tuzo ya Mwanasoka Bora wa Mwaka 2022 zilizotolewa na Baraza la Michezo la Taifa (BMT), huku nyota wa riadha, Alphonce Simbu akibeba...
Tamasha la Pasaka kufanyika Leaders, hakuna kiingilio Katika kuungana na watanzania kuadhimisha miaka miwili ya Rais Samia Suluhu Hassan Suluhu waandaaji wa tamasha la Pasaka wameondoa kiingilio kwa watu watakaokwenda kwenye tamasha hilo. Hayo...
NIONAVYO: Uwanja wa Mkapa ni kielelezo cha utunzaji wetu kuimarisha nidhamu katika kutunza miundombinu ambayo tunayo tayari.Bila kujenga nidhamu ya utunzaji,ujenzi wa viwanja vipya itakuwa ni kumwaga maji kwenye pakacha. Tutajenga viwanja vingi lakini...
Diarra mwendo wa noti tu MASTAA wa Yanga hadi sasa wameshavuna kiasi cha zaidi ya Sh 316 milioni kama bonasi ya kufanya vizuri kwenye mechi tatu kati ya nne zilizopita za hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika...
Bruno mguu sawa Yanga, dili lake liko hivi Jangwani... YANGA inahitaji ushindi tu kwenye mechi tatu zinazofuata za Ligi Kuu ili ijihakikishie rasmi ubingwa wa ligi msimu huu lakini wakati wakiajiandaa na sherehe za ubingwa, uongozi wa timu hiyo...
Mtanzania kuanza na mwenyeji ndondi za dunia Beatrice Nyambega atafungua dimba kwa mabondia wa Tanzania keshokutwa Ijumaa kwenye mashindano ya ngumi ya dunia kwa wanawake yatakayofunguliwa kesho nchini India. Beatrice atacheza na mwenyeji,...
TUONGEE KISHKAJI: Komedi imeanza kutumika vibaya hapa nchini kwanza wana maisha tofauti kidogo na mjini na tofauti hata na vijijini pia. Baadhi yao bado wanaishi kwa kuwinda wanyamapori na kula mizizi. Mwandishi akamfuata dogo mmoja akamuuliza una...
Simba: Hatuwezi kufanya kiingilio bure Msemaji wa Simba, Ahmed Ally amesema klabu hiyo haiwezi kufanya kiingilio bure katika mechi ya hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya Machi 18 ambayo ikishinda itafuzu hatua ya...
Mayele katikati ya mtego STRAIKA wa Yanga, Fiston Mayele anatarajiwa kuiongoza Yanga kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Geita Gold itakayopigwa jioni ya leo Azam Complex, huku akikabiliwa na mtihani wa kufuta ukame...
Mandoga apeleka Mlungambunga Kenya KARIM Mandonga 'Mtu Kazi' ametangaza kiama kwa bondia maarufu nchini Uganda, Kenneth Lukyamuzi atakayepambana naye Machi 25 kwenye Ukumbi wa KICC, jijini Nairobi, Kenya.