Klopp kila kitu freshi kwa Werner DILI limefika patamu. mwandishi wa habari maarufu, Raphael Honigstein amefichua kila kitu kinachoendelea baina ya kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp na straika wa RB Leipzig, Timo Werner.
Wema aja na DVD ya 'Heaven Sent' Dalili ya kuanza kulirudisha soko la filamu lililokuwa limelala, ambapo zamani wasanii ndio walizoeleka kwenda kuwapigia magoti wasambazaji.
Afisa habari wa Simba, Asha Muhaji afariki dunia Aliyekuwa afisa habari wa Simba SC na mwandishi wa habari za michezo, Asha Muhaji amefariki dunia mchana wa leo, Jumatano.
Barca yampiga stop Lewandowski kufunga BARCELONA imeripotiwa kumwomba straika Robert Lewandowski asifunge tena mabao wakati wa msimu wake wa kwanza kwenye kikosi hicho cha La Liga.
TFF, RT yawapongeza viongozi wapya Taswa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na lile la Riadha (RT), vimeupongeza uongozi mpya wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), na kuwatakia kila la heri katika...
Kazi ya Kamusoko yaacha gumzo AMEACHA gumzo. Pasi zenye macho, uwezo wa kukaba wa kiungo, Thabani Kamusoko ‘Rasta’ umemfanya beki wa kati na nahodha wa Cercle De Joachim, Mghana Nartey Isaac kudai Mzimbabwe huyo ndiye...
Grammy yapigwa kalenda kisa Corona Mabadiliko hayo yametangazwa Rais wa wa jumuiya inayohusika na uandaaji wa tuzo hizo inayofahamika kama ‘The Recoring Academy’, Harvey Mason Jr, usiku wa kuamkia leo Januari 06, 2021
Mashabiki Aston Villa wamtaka Samatta acheze dhidi ya Watford Mashabiki wa Aston Villa wameshindwa kuzuia hisia zao baada ya kumtaka kocha wao amtumie mshambuliaji wao mpya Mbwana Samatta aliyesaini mkataba wa miaka minne na nusu katika mchezo wa leo dhidi...
Shuti la Lionel Messi laharibu kamera ya mpigapicha! UNAPOMUONA Lionel Messi akijiandaa kupiga shuti na wewe uko nyuma ya goli ukiwa na kamera mkononi elewa kwamba unajiandalia balaa kwani unaweza kunasa picha ya kipekee au ukajikuta unaharibu...
Clippers yamtema Chris Paul NBA LOS Angeles Clippers wameachana na Chris Paul katika mazingira yaliyoacha maswali kwa mashabiki wanaofuatilia Ligi ya Kikapu Marekani (NBA).