Waziri Mkuu kuongoza NBC Dodoma Marathon 2023 Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mbio za NBC Dodoma Marathon 2023 zinazotarajiwa kufanyika Julai 23 mwaka huu zenye lengo la kukusanya Sh500 milioni.
PRIME Tatizo jipya Simba hili hapa ZIMEBAKI siku 12 tu kabla usajili wa Ligi Kuu Bara haujafungwa baada ya kufunguliwa mwanzoni mwa mwezi huu. Umekuwa usajili wenye pilikapilika nyingi kwa timu kadhaa huku nyingine zikiwa kimya...
Bocco amvuta Chilunda Simba Majeraha ya mara kwa mara ya nahodha John Bocco, ni sababu kubwa iliyoishawishi Simba kumsajili mshambuliaji wa zamani wa Azam FC, Shaban Chilunda uhamisho uliokamilika juzi.
Yule namba 6 wa Yanga huyu bwana Dar es Salaam. Baada ya mazungumzo ya siku moja jijini Dar es Salaam, nyota wa Marumo Gallants, Mahlatse Makudubela amefikia makubaliano ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuitumikia...
Kwa Azam hii sajilini mabeki na kipa AZAM FC inaendelea na kambi yake ya maandalizi ya msimu mpya hapa Sousse nchini Tunisia na Kocha Yousouph Dabo anatoa dozi ya hatari. Moja kati ya maeneo ambayo Dabo kayatolea sana macho ni safu...
PRIME SIO ZENGWE: Habari za usajili zisifedheheshe waandishi, wachambuzi mmoja kabla ya mkataba wake kuisha. Hii maana yake ni kwamba klabu haikuwa tayari kumuachia aondoke bure baada ya kumaliza mkataba na hivyo inalazimika kuachana naye kwa faida. Hali ndivyo...
Lagrouni aanza kibabe kuwapika mastaa Yanga KIKOSI cha Yanga kinaendelea kujifua katika kambi ya timu hiyo iliyopo Avic Town, Kigamboni chini ya kocha mpya, Miguel Gamondi lakini taarifa mpya ni kwamba kocha huyo kutoka Argentina ameshusha...
Mgunda aibukia kwa vijana Simba HUKO Simba hali sio shwari kwa aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Juma Mgunda baada ya kuonekana akiwa na kikosi cha vijana. Mwanaspoti limemshuhudia Mgunda akiwa kwenye Uwanja wa Meja Jenerali...
Nje mtiti, ndani mtiti Simba, Yanga LIGI imeanza mapema. Ndio, huko mtaani na kwenye mitandao ya kijamii ile ligi ya mashabiki na wapenzi wa klabu za Simba na Yanga imeanza. Hii imechangiwa zaidi na shusha nishushe inayoendelea...
PRIME MTU WA MPIRA: Tweet za Mo Dewji na mabadiliko ya Simba NI miaka sita sasa na mchakato wa mabadiliko pale Simba haujakamilika. Hii si kauli yangu. Ni ya mwekezaji wa Simba, Mohamed Dewji. Wiki iliyomalizika Dewji aliibua mjadala mkubwa kwenye mtandao...