Wydad, Kaizer hapatoshi. WAKATI wakibakiwa na mechi moja tu kutinga fainali baada ya ushindi wa kwanza dhidi ya Wydad, Kaizer Chiefs watakuwa na shughuli pevu ya kulinda ushindi wao wa kwanza baada ya kushinda goli 1-0...
Msimu mpya Ligi Kuu waja na neema Zikiwa zimesalia siku chache kuanza kwa msimu mpya wa michuano ya kabumbu ulimwenguni kote, Kampuni ya michezo ya kubashiri Parimatch Tanzania imekuja na kampeni yao ya Amsha Mzuka yenye...
KMKM yaua, hat-trick ya pili yafungwa Zenji LIGI Kuu Zanzibar (ZPL) imezidi kunoga baada ya watetezi wa ligi hiyo KMKM jana jioni kuifyatua New City kwa mabao 5-0, huku nyota wake, Ibrahim Isakah akifunga hat trick ikiwa ni ya pili kwa...
Adhabu USM Alger hizi hapa, fainali ni Berkane vs Zamalek USM Alger itatozwa faini ya Dola 50,000 (Sh 130 milioni) na kufungiwa kushiriki mashindano yote ya klabu yaliyo chini ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (Caf) baada ya jana kugomea kucheza...
NBA All-star ni vita ya ukanda, kinapigwa kesho KESHO Jumapili kwa saa za Marekani na alfajiri kuamkia keshokutwa Jumatatu kwa saa za Afrika Mashariki, ule mchezo mkali unaohusisha mastaa walioupiga mwingi zaidi kwenye ligi ndefu (regular...
Sh65 milioni Goli la Mama zazaa mabao 14 timu zikivuka RAUNDI ya kwanza ya mechi za mchujo wa mashindano ya klabu barani Afrika imekamilika kwa timu zote nne za Tanzania Bara kufuzu raundi ya pili ya mashindano hayo ikiwa ni rekodi.
Jobe Bellingham atua anga za Man United MANCHESTER United inafikiria kumsajili kwa mkopo katika dirisha lijalo la usajili kiungo wa Borussia Dortmund, Jobe Bellingham, mwenye umri wa miaka 20.
Ratcliffe akataa dili la Robert Lewandowski MMILIKI mwenza wa Manchester United, Sir Jim Ratcliffe, ameripotiwa kuzuia mpango wa klabu hiyo kumsajili mshambuliaji mkongwe wa Barcelona na timu ya taifa ya Poland, Robert Lewandowski, 37...
Ghafla hadithi ya Vinicius imebadilika SIKU kadhaa zilizopita, mtoto wa mzee Jose Paixao, Vinicius Jose Paixao de Oliveira Junior ‘Vinicius Jr’, aliyekuwa akishindania tuzo ya Ballon D’or mwaka jana dhidi ya Rodri, mchezaji aliyekuwa...
McCarthy: Tulichokutana nacho Burundi haikuwa mechi ya soka ni vita Kocha Benni McCarthy, amesema kikosi chake cha timu ya taifa ya Kenya, Harambee Stars, hakikutekeleza vyema mpango waliouweka katika mechi ya kufuzu Kombe la Dunia la FIFA 2026 dhidi ya wenyeji...