Uchaguzi Real Madrid waivuruga Man City MANCHESTER City wanafikiria kuchukua hatua za kisheria baada ya mgombea wa urais wa Real Madrid kuahidi kumsajili mshambuliaji wao, Erling Haaland.
Infantino apuuzia utata, akimtetea Trump Kombe la Dunia 2026 Ukimsikiliza Rais wa FIFA, Gianni Infantino, unaweza kudhani utata uliozunguka Kombe la Dunia 2026 katika siku za hivi karibuni haukuwa jambo kubwa.
Nyota Mexico atumia dakika 24 kuandika rekodi mpya Kombe la Dunia Nyota huyo amecheza mechi yake ya kwanza ya Kombe la Dunia na kuweka rekodi hiyo katika ushindi wa kikosi hicho wa mabao 2-0, dhidi ya Afrika ya Kusini.
KAMA ZARI: Senesi kutoka fukwe za Ibiza hadi Kombe la Dunia WAKATI wachezaji wengi wakitumia kipindi hiki kupumzika baada ya msimu mrefu, beki mpya wa Tottenham Hotspur, Marcos Senesi amejikuta akikatisha likizo yake baada ya kupata zali la mentali.
Rafael Leao airahisishia kazi Manchester United WINGA nyota wa AC Milan, Rafael Leao, ameongeza moto kwenye tetesi za kujiunga na Manchester United baada ya kukiri ndiyo timu anayoipenda zaidi England.
Posho, chakula chanzo cha vipigo Senegal Haukuwa mwanzo ambao Senegal walikuwa wameutarajia katika Kombe la Dunia 2026.
Maswali mazito yenye majibu magumu HATUA ya makundi ya Kombe la Dunia ambalo ndilo kubwa zaidi kuwahi kufanyika inafikia tamati. Hata hivyo, bado kulikuwa na maswali mengi muhimu yaliyohitaji majibu katika mechi za mwisho za makundi.
Yaw Berko atua Simba >SIMBA imemtumia tiketi ya ndege kipa wa zamani wa Yanga, Yaw Berko na atatua jijini Dar es Salaam kesho Ijumaa kufanya mazungumzo ya mwisho na klabu hiyo ya Msimbazi.
Ronaldo amaliza safari ya Kombe la Dunia kwa majonzi, Hispania ikiweka rekodi TIMU ya taifa ya Hispania imeendelea kuonyesha kwa nini ni miongoni mwa zinazopewa nafasi kubwa ya kutwaa Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ureno katika mchezo...
Ronaldo na kilio cha mtu mzima 'UKIONA mtu mzima analia mbele za watu ujue kuna jambo...' Ndicho kilichoonekana kwa chozi la mshambuliaji wa Cristiano Ronaldo baada ya kukiri hili ilikuwa Kombe lake la Dunia la mwisho, lakini...