Mkubwa Fella avunja ukimya kuhusu kuumwa kwake... Diamond atajwa
Baada ya ukimya wa takriban miezi minne, Meneja wa msanii mkubwa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Said Fella ‘Mkubwa Fella’ aliyeelezwa anaumwa, ameibuka na kuvunja ukimya kuhusu...