Mzigo mpya EPL, mambo mapya MSIMU wa 2024-25 ukiwa umemalizika muda si mrefu, tayari mchakamchaka mpya wa 2025-26 wa Ligi Kuu England umeanza rasmi usiku wa jana Ijumaa.
Taifa Stars mzigoni tena BAADA ya kumaliza kazi kwenye Fainali za CHAN 2024 zilizoandaliwa kwa ushirikiano wa Tanzania, Kenya na Uganda, kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars usiku wa leo kitakuwa kibaruani ugenini...
Mbeya City ile siku ndo leo JIJI la Mbeya leo litakuwa lipo bize kutokana na uwepo wa tamasha la kijanja la klabu ya Mbeya City iliyorejea katika Ligi Kuu Bara msimu huu, ikitoka Ligi ya Championship.
Morocco yafuzu Kombe la Dunia, Stars yabakiza mbili Morocco imekuwa timu ya kwanza ya Taifa barani Afrika kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 5-0 nyumbani dhidi ya Niger jana, Septemba 5, 2025 huku Taifa...
Tatu za England zaendelea kumgombania Rodrygo MANCHESTER City, Arsenal na Liverpool zinavutiwa na winga wa Real Madrid, Rodrygo Goes, 24, lakini hadi sasa hazijawasilisha ofa.
Hizi sura tatu mzuka mwingi MANCHESTER United imepoteza mechi ya kwanza ya Ligi Kuu England msimu huu mbele ya Arsenal inayokimbizia ubingwa.
Alejandro Garnacho aziingiza vitani Tottenham, Chelsea TOTTENHAM Hotspur inajipanga kuingia katika kinyang’anyiro kuwania saini ya winga wa Manchester United na Argentina, Alejandro Garnacho, 21, ambaye pia anawindwa na Chelsea.
Chan 2024 kazi ipo huku sasa MECHI mbili za robo fainali za michuano ya CHAN 2024 zimepigwa jana Ijumaa na leo zinapigwa nyingine za mwisho ili kujua timu zitakazoumana katika nusu fainali, lakini kuna kazi inaendelea kwenye...
We ni refa? Msikie Pierluigi Collina MWENYEKITI wa kamati ya waamuzi wa Shirikisho la kimataifa la soka (FIFA), Pierluigi Collina amefunguka marefa wazuri kwenye mchezo wa soka wana kazi kubwa ya kufanya uwanjani kama wanataka...
Vigogo Manchester United wamfungia kazi Sesko MANCHESTER United imeingia katika mchakato wa kuiwania saini ya mshambuliaji wa RB Leipzig na timu ya taifa ya Slovenia, Benjamin Sesko mwenye umri wa miaka 22.