Lautaro Martinez atengewa fungu Arsenal ikimtaka kikosini ARSENAL imetakiwa kulipa Pauni 128 milioni katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi ikiwa inaitaka saini ya mshambuliaji wa Inter Milan na timu ya taifa ya Argentina, Lautaro Martinez.
Liverpool, Barcelona mguu sawa kwa Jonathan Tah BARCELONA hawana wasiwasi kuhusu mpango wa kutaka kumsajili beki wa Bayer Leverkusen na timu ya taifa ya Ujerumani, Jonathan Tah, mwenye miaka 29, ambaye mkataba wake na vigogo hao wa...
Dah! Chiesa awekwa sokoni Liverpool kina Salah wakibaki WAKATI Liverpool imefanikiwa kuwabakisha mastaa wake wawili Mohamed Salah na Virgil van Dijk, klabu hiyo inahitaji Pauni 17 milioni katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi ili kumuuza...
Real Madrid yaangukia kwa Enzo Fernandez REAL Madrid imeanza mchakato wa kutaka kumsajili kiungo wa Chelsea na Argentina, Enzo Fernandez ambaye ameonyesha utayari wa kujiunga nayo katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi kwani ni...
Nico Williams aiingiza Bayern Munich vitani BAYERN Munich imeanza tena kuonyesha nia ya kutaka kumsajili winga wa Athletic Bilbao na timu ya taifa ya Hispania, Nico Williams dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Aston Villa yampa masharti mazito Marcus Rashford MSHAMBULIAJI wa Manchester United na timu ya taifa ya England, Marcus Rashford, mwenye umri wa miaka 27, ameambiwa kuwa akubali kupunguza mshahara wake ikiwa anataka kusaini mkataba wa kudumu wa...
Liverpool wapewe ubingwa wao EPL LIVERPOOL imerejea kwenye makali yake ya ushindi baada ya kuichapa Everton kwenye kipute cha Merseyside derby kilichofanyika Anfield, Jumatano iliyopita.
Arsenal, Manchester United zalainishiwa kwa Gyokeres MABOSI wa Sporting Lisbon wapo tayari kupunguza bei ya mshambuliaji wa timu hiyo na timu ya taifa ya Sweden, Viktor Gyokeres katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi kutoka Pauni 85 milioni...
Barcelona yaanza kujipanga kwa Luis Diaz BARCELONA inafikiria kufanya mabadilishano ya wachezaji na Liverpool na imepanga iwape beki wa kati wa Uruguay, Ronald Araujo, mwenye umri wa miaka 26, ili kumpata winga wa majogoo hao na timu ya...
PRIME Wachezaji Simba waongezewa mzuka, watangaziwa dau nono SIMBA inahesabu saa kabla ya kushuka uwanjani kesho Jumapili kukabiliana na Stellenbosch ya Sauzi katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, huku mfadhili wa zamani...