PRIME Kocha mpya Yanga akwaa kisiki, kanuni hizi zinambana Mabosi wa Yanga walishtushwa na uamuzi wa ghafla wa kocha Sead Ramovic ambaye aliomba kuvunja mkataba wake kisha jana Jumanne, Februari 4, 2025 akawaaga wachezaji na maofisa wengine wa timu...
PRIME Hiki hapa kilichomuondoa Ramovic Yanga KUNA mshtuko umetokea leo jioni kwenye mazoezi ya mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga wakati kikosi hicho kikijiandaa na mchezo wa ligi hiyo utakaochezwa kesho Jumatano Februari 5, 2025...
Ujenzi wa Samia Complex Arusha wafikia asilimia 25 Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema ujenzi wa Uwanja wa michezo wa Arusha uliopewa jin la Samia Complex unaotarajiwa...
Waliohama timu dirisha dogo la usajili 2024-25 Hii hapa orodha ya mastaa waliobadili timu kwenye dirisha dogo la uhamisho wa wachezaji, ambapo kwa baadhi ya nchi za Ulaya lilifungwa usiku wa Jumatatu, Februari 3. ENGLAND Nico Gonzalez...
PRIME Sio Man City tu, hata hawa wengine walipigwa WIKIENDI iliyopita ilikuwa na mambo mengi kwenye Ligi Kuu England. Moja kati ya vitu vilivyotokea vilikuwa ni vipigo vikubwa vilivyotokea katika mechi mbili.
Jorginho wa Arsenal anukia Flamengo Brazil KIUNGO wa Arsenal na Italia, Jorge Luiz Frello Filho maarufu Jorginho, 33, yupo katika hatua za mwisho kufikia makubaliano na timu ya Flamengo inayoshiriki Ligi Kuu Brazil kwa ajili ya kujiunga...
Kane amuweka chini Haaland Bundesliga KITU ambacho ni sahihi kumwelezea straika Harry Kane ni kumwita jina la ‘mtambo wa mabao’.
Huyu Lamine Yamal ana balaa nyie! STAA wa boli, Lamine Yamal amekuwa gumzo baada ya kuonyesha kiwango cha juu kabisa kwenye ishu ya kukokota mpira wakati alipoisaidia Barcelona kupata ushindi muhimu dhidi ya Alaves kwenye La Liga.
Antony kuhama Man United tu kawaka YULE staa aliyeonekana kimeo kwenye kikosi cha Manchester United, Antony ameanza kwa moto kwenye timu yake anayocheza kwa mkopo, Real Betis baada ya kuhusika katika bao katika mechi yake ya...