Raphinha, Fermin mtegoni Barcelona INGAWA hakupata hata dakika moja ya kucheza, kiungo wa Barcelona, Raphinha Dias alikuwa miongoni mwa wakosoaji wakubwa baada ya chama lake kutolewa kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya na Atletico...
Partey anyimwa viza kuingia Canada Kombe la Dunia WAKATI Ghana ikijiandaa kucheza mechi yake ya kwanza ya Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Panama Alhamisi ijayo mjini Toronto nchini Canada, itaikosa huduma ya kiungo wake, Thomas Partey.
Arsenal kumjaza mabilioni Arteta Kocha wa Mabingwa wa ligi Kuu England, Mikel Arteta yuko mbioni kuwa mmoja wa makocha wanaolipwa zaidi duniani wakati wa akijiandaa kusaini mkataba mpya na Arsenal.
Usyk apiga marufuku simu za familia kuelekea pambano la Rico Verhoeven BINGWA wa dunia wa uzani wa juu wa WBC, Oleksandr Usyk, ameonyesha nidhamu ya hali ya juu baada ya kupiga marufuku matumizi ya simu na ukaribu wa familia yake kwenye kambi yake ya mafunzo...
Sababu yatajwa WBC kumvua Ibrahim Mafia ubingwa wa Afrika Bondia wa kulipwa waTanzania, Ibrahim Mafia, amevuliwa rasmi ubingwa wa Afrika wa uzani wa bantamweight wa Baraza la Ndondi Duniani (WBC) kufuatia kupoteza pambano lisilo la ubingwa dhidi ya...
Arsenal yaanza 'kutetemeka' kileleni EPL VITA ya ubingwa wa Ligi Kuu England (EPL) msimu wa 2025-2026 imefikia hatua ya mwisho ambapo Arsenal na Manchester City sasa zimetenganishwa kwa tofauti ya pointi mbili huku zikiwa zimesalia...
Wakali wa kila idara ligi tano bora Ulaya LIGI kuu tano bora barani Ulaya zinaanza kutamatika wikiendi hii, lakini kinachoeleweka tayari ni kwamba nne kati ya hizo zina mabingwa ikiwamo ile ya Hispania (LaLiga) ambako Barcelona wamebeba...
El Hadji Diouf kutumikia adhabu gerezani Nyota wa zamani wa Liverpool, El Hadji Diouf ameamriwa kutumikia hukumu ya kifungo kilichokuwa kimesimamishwa baada ya kushindwa kutoa matunzo ya kila mwezi ya mtoto wake, Keyla.
Asamoah Gyan amtaja bingwa AFCON 2025 Kuelekea fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), mwanasoka wa zamani wa timu ya Taifa ya Ghana, Asamoah Gyan, ametaja nchi tatu ambazo anaamini huenda mojawapo ikatwaa ubingwa wa...