Ishu ya Maxi.. Kaizer, Yanga kumalizana Sauzi KIWANGO bora kinachoonyeshwa na nyota wa Yanga, Maxi Nzengeli, raia wa DR Congo, kimewavutia mabosi wa Kaizer Chifes walioamua kupiga hodi na kuulizia uwezekano wa kumsajili winga huyo katika...
PRIME Simba yaweka mikakati CAF, Mo ahusishwa mchongo wote SIMBA inatarajiwa kuvaana na Al Ahli Tripoli ya Libya katika mechi za raundi ya pili za michuano hiyo ikianzia ugenini wikiendi ijayo kabla ya kurudiana nao baada jijini Dar es Salaam na mshindi...
Mpeni hawa wanne Amorim atakuwa moto MANCHESTER United imeingia kwenye Mwaka Mpya wa 2025 ikitokea kwenye vichapo vinne mfululizo na kumfanya kocha Ruben Amorim afahamu ni aina gani ya timu aliyoamua kujiunga nayo na mtihani mzito...
Mmesikia? Mainoo katua kwenye rada za Chelsea CHELSEA inadaiwa kuwa katika harakati za kutaka kumsajili kiungo wa Manchester United, Kobbie Mainoo ambaye mazungumzo yake na mabosi wa Man United juu ya mkataba mpya yanadaiwa kukwama.
SIO KINYONGE: Hawa wamehusika kwenye mabao mengi mwaka 2024 WASHAMBULIAJI wengi wanapenda kufunga ingawa kuna wakati pia huwa wanajikita katika kusaidia wachezaji wenzao kufanya hivyo.
Mishahara ya Man United Amad akibamba dili jipya AMAD Diallo mambo yake ni safi baada ya kupandishiwa mshahara kufuatia dili jipya alilosaini Man United.
Kompyuta imetaja hawa hapa usajili Big Six USAJILI wa dirisha la Januari limejaa mambo mengi kwenye Ligi Kuu England wakati timu mbalimbali zikipambana kuboresha vikosi vyao ili kuja na nguvu mpya katika mchakamchaka wa kusaka matokeo...
Zanzibaar Heroes, Burkina Faso fainali ya kisasi Mapinduzi Cup 2025 MICHUANO ya Kombe la Mapinduzi 2025 inafikia tamati usiku wa leo wakati timu za taifa za Zanzibar Heroes, wenyeji wa michuano hiyo, na wageni Burkina Faso zitapovaana katika fainali ya kisasi...
Orlando, Stellenbosch zatinga robo fainali CAF TIMU mbili za Afrika Kusini, Orlando Pirates inayoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika na Stellenbosch iliyopo Kombe la Shirikisho zimefuzu hatua ya robo fainali jioni hii baada ya kila moja kushinda...
PRIME Aucho, Yanga kuna jambo PRESHA imeanza kupanda kuelekea dabi ya Kariakoo itakayopigwa Oktoba 19. Kambini Yanga, Kocha Miguel Gamondi kuna jambo linamfanya akune kichwa, lakini hana namna.