Ubelgiji: Hatuogopi uenyeji wa Marekani ALFAJIRI ya kuamkia Jumanne kwa saa za Afrika Mashariki, wenyeji wenza wa Kombe la Dunia 2026, Marekani wataikaribisha Ubelgiji kwenye mechi ya hatua ya 16 bora kuwania kufuzu robo fainali.
Joshua arejea ulingoni 'kumvaa' Prenga BONDIA nyota wa Uingereza, Anthony Joshua atarejea rasmi ulingoni Julai 25 nchini Saudi Arabia kupambana na Kristian Prenga katika pambano linalotajwa kuwa hatua ya mwisho kabla ya kukutana na...
Majeraha ya William Saliba Arsenal pigo ARSENAL imepokea taarifa mbaya baada ya beki wake tegemeo, William Saliba atalazimika kukaa nje ya uwanja kwa hadi miezi mitano kutokana na majeraha ya mgongo aliyoyapata akiwa na timu ya taifa...
Mashabiki England wasusia mechi ya kirafiki Marekani Nahodha wa timu ya taifa ya England, Harry Kane na wachezaji wenzake wanakabiliwa na uwezekano wa kucheza mbele ya uwanja usio na mashabiki wengi nchini Marekani wiki ijayo.
Wadau kikapu waipongeza Dar City Dar City imetupwa nje katika robo fainali ya Kikapu Afrika (BAL) Play off, baada ya kufungwa jumla ya pointi 165-157 na Petro De Luanda ya Angola katika mechi mbili za robo fainali, huku wadau...
Marcelo Bielsa amtema Suárez Kombe la Dunia Zikiwa zimebaki siku 10 kabla ya kuanza kwa Fainali za Kombe la Dunia 2026, kocha wa Uruguay, Marcelo Bielsa amemwacha nje mshambuliaji mkongwe Luis Suárez katika kikosi cha timu hiyo...
James Milner akubali yaishe, ajiweka pembeni James Milner, kiungo wa Brighton, Liverpool na Manchester City, amethibitisha kustaafu soka rasmi akiwa na umri wa miaka 40, akiwa ametumika kwenye Ligi Kuu England kwa misimu 24.
Serengeti Girls isikate tamaa, nafasi ipo JUZI Jumamosi, timu ya Taifa ya Tanzania chini ya miaka 17 ilicheza dhidi ya Afrika Kusini mechi ya kwanza wa raundi ya pili ya kusaka tiketi ya Kombe la Dunia kwa wanawake chini ya miaka 17.
Magwiji wawili waangwa Real Madrid MASHABIKI wa Real Madrid juzi waliwaaga kwa hisia kubwa wachezaji wao wapendwa, David Alaba na Dani Carvajal, katika usiku wa historia uliokuwa umejaa heshima kwenye Uwanja wa Santiago Bernabéu.
Ni zama za utawala wa Arsenal Imesubiri kwa muda mrefu, hatimaye baada ya miaka 22, Arsenal imetwaa tena ubingwa wa Ligi Kuu ya England.