Mechi za ubingwa Arsenal, Man City hesabu zipo hapa KATIKATI ya wiki hii, Arsenal iliweka katika nafasi nzuri zaidi ya kuchukua taji la Ligi Kuu England msimu huu, baada ya kuichapa Brighton & Hove Albion, wakati wapinzani wao Manchester City...
Arsenal yaihakikishia EPL nafasi tano UCL TIMU ya Arsenal imeihakikishia Ligi Kuu England kuwa na nafasi tano katika Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao baada ya kuifunga Sporting Lisbon katika mchezo wa kwanza wa hatua ya mtoano ya...
Tottenham weka bei kubwa Romero, Dola 50–70 Milioni Iwapo klabu pinzani zinamtaka Cristian Romero, hawatapatikani kwa bei rahisi, kwa mujibu wa baba yake aliyezungumzia hatima ya mwanaye katika kikosi cha Tottenham Hotspur akisema hata kama...
CD Colunga kumtumia kipa wa miaka 70 Ligi daraja la tano Hispania KATIKA umri ambapo wachezaji wengi wa zamani wa soka wangependelea kukaa wakiwasimulia wajukuu, marafiki na watu wa karibu baa hadithi tamu kuhusu umahiri wao wa zamani uwanjani, Angel Mateos...
Fainali UEFA CL: Mashabiki kufungua mifuko, Sh10 milioni kuhusika UNATAKA kuziona Arsenal na Paris Saint Germain? Utaweza ila tu uhakikishe mfuko wako haukosi chini ya Sh10 milioni. Hapo ni kuanzia jijini London na kama unaanzia Tanzania au Afrika kwa jumla...
Chelsea duh! Tatizo ni hili, kocha mpya atajwa MCHAMBUZI na mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya England na Manchester United, Gary Neville ameikosoa vikali bodi ya Chelsea kutokana na uamuzi wao wa kumfuta kazi Kocha Liam Rosenior...
Simbu arejea nchini, ataja siri ya kung’ara mfululizo Boston Mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania, Alphonce Simbu amerejea nchini akitokea Marekani alikokwenda kushiriki mbio za Boston Marathon, huku akisema siri ya kufanya vizuri inatokana na jitihada...
Bernardo akiri ugumu Man City UCL baada kipigo cha Madrid Nahodha wa Manchester City, Bernardo Silva, amesema matumaini ya timu yake kusonga mbele katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya yako katika hali ngumu baada ya kupokea kichapo kizito cha mabao...
Matokeo mabaya, yaweka rehani nafasi ya tano ya EPL UCL KATIKATI ya wiki hii, matumaini ya Ligi Kuu England (EPL), kupata nafasi tano za moja kwa moja kufuzu katika Ligi ya Mabingwa Ulaya yamepata changamoto baada ya matokeo mabaya ya timu za ligi...
Cristiano Ronaldo ‘amkataa’ dada yake MSHAMBULIAJI Cristiano Ronaldo amekanusha madai yaliyotolewa na dada yake kwamba ana mpango wa kustaafu kuchezea timu ya taifa mara baada ya Kombe la Dunia kumalizika.