Makamu Rais SMZ akunwa mbio za Yas Z'bar International MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amepongeza maandalizi na mafanikio ya mbio za Yas Zanzibar International Marathon zilizofanyika leo visiwani Zanzibar kwa mafanikio...
Buffon aibua ishu ya Chiesa kuitwa timu ya taifa Gwiji wa soka wa Italia, Gianluigi Buffon, amesema kikosi cha Azzurri kinamsubiri Federico Chiesa kurejea katika timu hiyo, baada ya kushindwa kupata tiketi ya moja kwa moja ya kushiriki Kombe la...
Joe Thomas anazikusanya hadi Bongo WIKIENDI hii moja kati ya matukio makubwa yaliyotokea ilikuwa ni shoo ya msanii wa R&B, Joe Thomas iliyofanyika viwanja vya Leaders Club, jijini Dar es Salaam.
Mashujaa, Dodoma vita nzito leo LIGI Kuu Bara inaendelea leo kwa mechi moja kupigwa Uwanja wa Lake Tanganyika, mjini Kigoma kwa wenyeji Mashujaa kuikaribisha Dodoma Jiji katika pambano la kisasi kutokana na rekodi za timu hizo...
Wasaudia wanavyoteketeza mkwanja juu ya kichwa cha Silva MWISHONI mwa wiki iliyopita, jina la Bernardo Silva lilitajwa sana akihusishwa na mpango wa kutaka kuondoka Manchester City, huku ripoti zikidai anaweza kwenda Italia, Hispania au Saudi Arabia.
Ronaldo awekwa mkeka tena SUPASTAA, Cristiano Ronaldo ameondolewa kwenye kikosi cha siku ya mechi cha Al-Nassr kwa mara ya pili mfululizo baada ya kuingia kwenye mgomo.
Guardiola ana kimeo kigumu Anfield TIMU pekee zilizotwaa taji la Ligi Kuu England katika misimu minane iliyopita zitakutana wikendi hii na takwimu zinaonyesha kuwa mabingwa watetezi huenda wakatoka kifua mbele.
CUNHA; Nyota wa Brazil anayejenga utajiri England KWA wiki kadhaa jina la Matheus Cunha limekuwa likitajwa sana na mashabiki wa soka hususani wa timu yake Manchester United kutokana na kiwango bora alichoonyesha tangu kuanza kwa msimu huu.
Desabre atuma salamu Super Eagles, asisitiza kukiwasha Kocha mkuu wa timu ya taifa ya DR Congo maarufu Leopards, Sébastien Desabre, amesisitiza kuwa timu yake ina ubora wa kuifunga ‘timu bora Afrika’ Nigeria, hivyo amejipanga kwa mpambano huo wa...
Harry Kane ajishtukia akiipigia hesabu Ballon d'OR STRAIKA wa England na Bayern Munich, Harry Kane anaendelea kufumania nyavu kwa kasi ya ajabu msimu huu, lakini ni kama amejishtukia baada ya kusema anatambua wazi matumaini ya kushinda Ballon...