Undav apiga mbili akitokea benchi, Ujerumani yafuzu mtoano
Mshambuliaji aliyeingia akitokea benchi, Deniz Undav, ameibuka shujaa wa Ujerumani baada ya kufunga bao la ushindi katika dakika ya 90+4 na kuiongoza timu hiyo kufanya comeback ya kusisimua dhidi...