Arsenal? ubingwa bado sana Magwiji wafunguka vikwazo vinavyoitesa MAGWIJI wa soka la England, Gary Lineker na Alan Shearer wanaamini Arsenal itaangukia pua tena kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England msimu huu.
Arsenal yafanya umafia London ARSENAL imefanya umafia wa kuipokonya tonge mdomoni Tottenham Hotspurs kwa kuingilia dili lao la kiungo mshambuliaji wa Crystal Palace, Eberechi Eze dirisha hili.
ZALI LA MENTALI: Neymar alivyopewa urithi wa mtu asiyemfahamu MWENYE nacho huongezewa, usipingane na maandiko. Na hicho ndicho unachoweza kusema baada ya supastaa wa Kibrazili, Neymar kuripotiwa kwamba anajiandaa kupokea mkwanja mrefu wa pesa ya urithi...
Pale Arsenal! Gyokeres anaomba asisti tu WAPINZANI wa Arsenal kwa msimu ujao, kazi mnayo. Unajua kwa nini, straika mpya wa miamba hiyo ya Emirates, Viktor Gyokeres baada ya kutua, amekuwa na ombi moja tu kutoka kwa nahodha wa kikosi na...
Nidhamu yambeba Mandonga NIDHAMU imetajwa kumbeba bondia maarufu wa ngumi za kulipwa nchini, Karim Said “Mandonga mtu kazi” ambaye ameingia mkataba usio na kikomo. Mkataba huo ni wa ubalozi wa Kampuni ya Mr. Discount...
Bukayo Saka arejea uwanjani tayari kuivaa Madrid BUKAYO Saka amebakiza hatua chache sana kabla ya kuanza kuonekana tena uwanjani na uzi wake wa Arsenal.
Barca yachunguzwa kumtumia mchezaji asiyestahili kucheza BARCELONA ipo kwenye hatari ya kupokwa pointi baada ya sasa kufanyiwa uchunguzi juu ya kucheza mchezaji asiyestahili kwenye mechi ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Osasuna kwenye La Liga, Alhamisi...
Mke sababu ya Bruno kukataa bilioni 725 kwa mwaka NAHODHA wa Manchester United, Bruno Fernandes amevunja ukimya na kueleza kwa nini ameikataa ofa nono kutoka kwa miamba ya Saudi Arabia, Al-Hilal ambayo ingemfanya avute Pauni 200 milioni kwa...
Hii ni mechi ya kibabe Kombe la Dunia la Klabu MIAMBA miwili ya Ulaya, Real Madrid na Juventus itakumbana yenyewe kwenye hatua ya 16 bora ya fainali za Kombe la Dunia la Klabu huko Marekani, usiku wa Jumanne, zikichuana kuwania tiketi ya...
P Diddy asikilizia hukumu, akutwa na makosa mawili WAKATI jopo la majaji wa Mahakama ya Shirikisho New York, Marekani, likitumia saa 13 ndani ya siku tatu kujadiliana kutoa hukumu kwa Sean Combs 'P Diddy', limemtia hatiani kwa makosa mawili kati...