Dar City yaweka historia, yafuzu 16 bora Basketball Africa League Mwakilishi wa Tanzania katika mashindano ya Basketball Africa League (BAL), Dar City, imefuzu hatua ya 16 bora ya mashindano hayo ya bara la Afrika, ambayo yanatarajiwa kufanyika baadaye mwaka...
Yanga sasa wababe wa Kariakoo Dabi Yanga imeendeleza ubabe kwa Simba baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mchezo wa fainali ya Ngao ya Jamii uliochezwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Tabu ya EPL iko pale pale! WIKIENDI hii Ligi Kuu England inatarajiwa kuendelea tena, huku mashabiki wakisubiri kwa hamu mechi mbalimbali hususani ile ya Manchester United dhidi ya Chelsea.
Josko Gvardiol: Messi, Salah, Haaland sio watu wa kawaida Beki wa Manchester City, Josko Gvardiol, ametaja majina matatu ya wachezaji wagumu zaidi aliowahi kukabiliana nao uwanjani akiwemo Lionel Messi, Mohamed Salah, na Erling Haaland.
Modest kaziachia klabu zetu maswali mazito JANA ulimwengu wa soka Tanzania ulimpoteza mmoja wa wachezaji wake mahiri wa zamani, Alphonce Modest, beki wa zamani wa Pamba, Simba na Yanga aliyefariki dunia mjini Kigoma baada ya kuugua kwa...
Vijana wa Chelsea waidhalilisha Ajax Chelsea imekuwa timu ya kwanza kwenye historia ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kuwa na wachezaji watatu vijana wenye umri chini ya miaka 20 waliofunga mabao katika mechi moja, baada ya kushinda 5–1...
Arsenal yashinda na kuifikia rekodi ya miaka 122 MIKEL Merino amefunga mabao mawili wakati Arsenal ikiibuka na ushindi mnono wa 0-3 dhidi ya Slavia Prague katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, mechi ikichezwa Fortuna Arena, leo...
Stori tamu ya Ronaldo, Szoboszlai wakichuana leo KUDUMU muda mrefu kwenye soka la kiwango cha juu kumemfanya Cristiano Ronaldo kuandikisha rekodi za kipekee kabisa katika mchezo huo wenye mashabiki wengi duniani.
Nyota wa Coffee aiwinda rekodi ya Msudani AMANUAL Admasu wa Coffee ya Ethiopia, leo atashuka uwanjani kukabiliana na Polisi Kenya, akiwa na akili ya kuinasa na hata kuipita rekodi ya mabao ya michuano ya Kombe la Kagame iliyowekwa msimu...
Tuzo za TFF zitolewe mapema baada ya msimu Msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2025/26 unakaribia kuanza rasmi huku mashabiki, wadau wa soka na wanamichezo kwa ujumla wakisubiri kwa hamu kuona kile ambacho klabu zao zitakifanya.