Gianluigi Donnarumma anyemelewa na vigogo BAYERN Munich, Real Madrid na AC Milan zipo katika vita ya kuwania saini ya kipa wa PSG na timu ya taifa ya Italia, Gianluigi Donnarumma, 26, katika dirisha hili la usajili.
Pacers ilivyofufuka mchezo wa kwanza INDIANA Pacers imefanya yake, lakini safari hii imefanya dhidi ya ngome imara zaidi ya ulinzi katika Ligi ya Kikapu Marekani.
Zimevuja... Jezi zitakazotumika EPL msimu ujao WAKATI maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu England yakiendelea baadhi ya timu tayari zimeshatambulisha jezi mpya huku nyingine zikivuja
Osimhen akataa pesa za Waarabu LICHA ya mshahara mkubwa uliowekwa mezani kutoka kwa miamba ya Ligi Kuu ya Saudi Arabia, Al-Hilal, Victor Osimhen bado hajashawishika kujiunga nao na ripoti zinaeleza Napoli wamekataa pia ofa...
Man United yaongeza mzigo kwa Mbeumo MANCHESTER United inapanga kutuma ofa mpya kwenda Brentford kwa ajili ya straika wa timu hiyo Bryan Mbeumo baada ya ile ya kwanza ya Pauni 55 milioni kukataliwa.
Arsenal yatua kwa Rodrygo ARSENAL imeonyesha nia ya kutaka kumsajili mshambuliaji wa Real Madrid, Rodrygo Goes katika dirisha hili la usajili wa majira ya kiangazi ili kuboresha eneo la ushambuliaji.
PRIME Kumuona Aziz KI? Jiandae na gharama hizi KOMBE la Dunia la Klabu la Fifa mwaka huu litaweka historia mpya kwa mara ya kwanza likishirikisha klabu 32 kutoka mabara yote.
Man City yakubali hasara kwa Grealish MANCHESTER CITY iko tayari kupata hasara ya Pauni 60 milioni kwa kumuuza Jack Grealish katika dirisha hili la majira ya kiangazi.
Gabriel bado yupo sana Arsenal Beki wa Kati raia wa Brazil, Gabriel Magalhaes (27) ameongeza mkataba wa kuitumikia Arsenal hadi 2029.
Bingwa mpya ZPL ni KVZ au Mlandege BINGWA mpya wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) anatarajiwa kujulikana leo wakati Mlandege na KVZ zitakaposhuka viwanja viwili tofauti kusaka pointi za kufungia msimu wa ligi hiyo.