Rayvanny kutumbuiza ufunguzi wa CHAN, 2024 Kwa Mkapa Mwanamuziki wa Bongo Fleva Rayvanny (Raymond Mwakyusa) anatarajiwa kutumbuiza kwenye hafla ya ufunguzi wa Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), inayotarajiwa...
Mashabiki Simba wamuomba msamaha Kibu JITIHADA kubwa za kulisakama lango la Al Ahly katika mchezo wa jana zilikuwa zaidi miguuni mwa mshambuliaji Kibu Denis aliyefunga bao la kusawazisha. Ulikuwa mchezo mkali na wa kusisimua Simba...
Majembe ya Man United yamerudi MANCHESTER United imeongezewa mzuka baada ya beki wao wa kati, Leny Yoro na mastaa wengine wanne kurejea kwenye kikosi wakiwa fiti kwa ajili ya kuendeleza mapambano ya kuhakikisha timu inamaliza...
PRIME Siri iliyomo kwenye vibegi wanavyobeba wachezaji HIVI ushawahi kujiuliza kuhusu vibegi wanavyobeba wanasoka huwa ndani kunakuwa na nini?
PRIME Hauzwi… Amorim kasema ana jambo lake na Bruno KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim kwa Bruno Fernandes kwa sasa humwambii kitu na haraka amewaambia vigogo wa timu hiyo, bado anamhitaji sana nahodha huyo katika mipango yake msimu ujao.
PRIME Kinachoendelea kwa Chama, Yanga hiki hapa MASHABIKI wa Yanga kwa sasa wanasikilizia ishu ya Dabi ya Kariakoo kama itapigwa au la, lakini kuna kitu kinaendelea ndani ya klabu hiyo kuhusu kiungo mshambuliaji, Clatous Chama.
Grealish anaondoka Man City na kibunda chake KUNA stori zinasambaa huenda nyota wa Manchester City, Jack Grealish akapewa mkono wa kwaheri na miamba hiyo baada ya kudumu kwa takriban miaka minne.
Arsenal 'kufungia mlango' wanne MKURUGENZI wa michezo wa Arsenal, Andrea Berta anataka kuwasainisha mikataba mipya nyota wanne wa timu hiyo baada ya kuanza na beki Gabriel Magalhaes aliyeongeza hadi mwaka 2029.
Haya Gyokeres kaelewa somo STRAIKA, Viktor Gyokeres ameiweka Manchester United kwenye klabu namba moja inayoweza kunasa saini yake dirisha hili la uhamisho wa majira ya kiangazi.
Mkataba mpya wa Ronaldo ni kufuru SUPASTAA, Cristiano Ronaldo amesaini dili la pesa nyingi likiweka historia katika michezo na mkali huyo atakwenda kuvuna Pauni 492 milioni kwa kipindi cha miaka miwili.