UEFA yafanya mabadiliko mengine Ligi ya Mabingwa SHIRIKISHO la soka la Ulaya (UEFA) limepanga kufanya mabadiliko mengine kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya ikiwa ni mwaka mmoja tu tangu walipoanzisha mfumo mpya wa michuano hiyo.
Napoli yaweka mzigo kwa Darwin Nunez INAELEZWA kwamba Napoli imewasilisha ofa ya Pauni 42 milioni kwenda Liverpool kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wa Liverpool na timu ya taifa ya Uruguay, Darwin Nunez, mwenye umri wa miaka 26.
Gyokeres ahofia dili la Arsenal kuvunjika STRAIKA Viktor Gyokeres atafikiria uamuzi wa mkopo kwenye dirisha hili la uhamisho wa majira ya kiangazi endapo kama Sporting na Arsenal zitashindwa kufikia makubaliano juu ya ada ya uhamisho.
PRIME Anga za kimataifa... Mastaa wazawa wanakwamia hapa! MSIMU wa Ligi Kuu Bara umemalizika kwa kushuhudia Yanga ikitetea taji msimu wa nne mfululuizo, huku Simba, Azam na Singida Black Stars zikiifuata nyuma na kukata tiketi za michuano ya kimataifa...
PRIME Kambi yanga iko huku YANGA imebakiza hatua chache kumtangaza kocha mpya wa timu hiyo, lakini mezani kwa mabosi wao kuna nchi tatu zinataka kuona ufundi wa kwanza wa mtaalamu huyo wa ufundi.
Sancho akubali kushusha mzigo akiitaka Juventus WINGA wa Manchester United na timu ya taifa ya England, Jadon Sancho mwenye miaka 25, yuko tayari kupunguza mshahara wake ili kukamilisha dili lake kutoka Manchester United kwenda Juventus...
IVERSON: Staa NBA aliyefilisiwa na matanuzi baada ya mechi "Nilitumia Dola 200 milioni kwa magari na sherehe, lakini sasa nimerudi kwa kishindo kupitia biashara ya Reebok ya Shaq yenye thamani ya Dola 2.5 bilioni." Ndivyo anavyoanza simulizi yake nyota...
Cunha afika wa kwanza mazoezini Man United STAA mpya wa Manchester United, Matheus Cunha amedhamiria kumshawishi kocha Ruben Amorim katika siku yake ya kwanza ya ‘pre-season’ huko Carrington, Jumatatu.
Ugarte kajiweka kwa X wa Mbappe STAA mpya wa Manchester United, Matheus Cunha amedhamiria kumshawishi kocha Ruben Amorim katika siku yake ya kwanza ya ‘pre-season’ huko Carrington, Jumatatu.
Kisa Kudus Spurs yaambiwa “kuweni siriazi basi” MABOSI wa West Ham United wamewaambia Tottenham Hotspur wanapaswa kuwa siriazi kama kweli wanahitaji huduma ya supastaa Mohammed Kudus baada ya kugomea ofa yao ya kwanza.