PRIME Conte anaingia, Chama ndo hivyo tena! YANGA imendelea na hesabu zake za kimafia kusuka kikosi chake na lile dili la kiungo wa shoka Moussa Bala Conte likitiki tu basi, litamng’oa staa wa maana ndani ya kikosi hicho kwa msimu ujao...
Rasmi Juventus yaweka mzigo mezani kwa Sancho JUVENTUS imewasilisha ofa ya pauni 8.65 milioni pamoja na nyongeza kwenda Manchester United ili kumsajili winga wa klabu hiyo na timu ya taifa ya England, Jadon Sancho, katika dirisha hili.
Happy Birthday Lamine Yamal LEO Lamine Yamal anasherehekea siku yake ya kuzaliwa akitimiza umri wa miaka 18, lakini tayari amefanikisha mambo makubwa katika taaluma yake ambayo Lionel Messi na Cristiano Ronaldo hawakuwahi...
Liverpool yatoa ofa ya mwisho LIVERPOOL imeweka mezani ofa ya mwisho ya pauni 40 milioni kwenda Crystal Palace ili kumsajili beki Marc Guehi katika dirisha hili na ripoti zinaeleza haitatoa tena ofa nyingine endapo hiyo...
Mbeumo apenda posti ya mazoezini Man United STAA Bryan Mbeumo amebonyeza kitufe kilichoandikwa 'like' kwenye posti ya beki wa Manchester United, Leny Yoro, aliyoposti huko kwenye Instagram akithibitisha kurejea mazoezini kitu ambacho...
Amorim amrudisha Garnacho kundini KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amejiweka kwenye hatari ya kutibuana na Marcus Rashford zaidi baada ya kuripotiwa kumruhusu Alejandro Garnacho kufanya mazoezi na wenzake huko Carrington...
Kiungo mpya alia kisa jezi ya Arsenal KIUNGO Christian Norgaard ameangua kilio kwa kushindwa kuamini baada ya kutinga uzi wa Arsenal sambamba na mwanaye wa kiume katika tukio la kupiga picha.
Fainali CWC ni leo usiku! ILE siku ndo leo, kitu kinapigwa usiku. Ni kuhusu fainali ya Kombe la Dunia la Klabu na Chelsea itaonyeshana ubabe na mabingwa wa Ulaya, Paris Saint-Germain uwanjani MetLife huko New Jersey...
Barcelona sasa yamvutia kasi Marcus Rashford MSHAMBULIAJI wa Manchester United na timu ya taifa ya England Marcus Rashford, 27, ni chaguo namba moja la Barcelona katika harakati zao za kumsajili winga wa kushoto katika dirisha hili.
Saluti! Liverpool yastaafisha jezi ya Diogo Jota LIVERPOOL imeamua kuistaafisha jezi Namba 20 iliyokuwa ikivaliwa na mshambuliaji Diogo Jota ikiwa ni heshima ya kipekee kwa staa huyo wa Ureno aliyefariki dunia kwenye ajali ya gari huko Hispania...